Wakuu, kwa sasa ukiwa CCM unakuwa sawa na mtu aliyejipaka M.A.VI
pale sokoni kamwe hapawezi kuwa na mtu mwenye akiri
Sijui mikoa ya pwani ikoje,nimepita jana naona mitaa mingi zikipeperusha bendera za ccm!sijaelewa watafunguka akili lini hawa watu!?
Wachanganywa na mdundiko na pilau za CCMSijui mikoa ya pwani ikoje,nimepita jana naona mitaa mingi zikipeperusha bendera za ccm!sijaelewa watafunguka akili lini hawa watu!?
siyo kajipaka, yeye ndio hayo m.·.·.·.·.·.·,···.·
Ha ha ha ha ha ha ha! Mimi mwenyewe mwanangu wa miaka minne juzi kamrushia jiwe Balozi wa nyumba kumi wa CCM tena akimwita fisadi akaja kulalamika kwangu. Nikamwambia ampeleke polisi. Mpaka leo sijamuona akija na polisi!
Safi sanaaa.! Ingekuwa kila ccm inapoonekana inapigwa mawe tungefika mbali
Wakuu,nipo Eneo la Shoprite hapa Arusha,naona msafara wa viongozi mbalimbali wa ccm,akiwepo RC wa Arusha,wanapita sokoni kilombero,ndipo soko lote likalipuka na kuanza kuwashambulia,kwa mawe,nyanya,bamia,ndizi,viazi,na kila aina ya silaha inayopatikana sokoni
Nimemwuliza kijana mmoja hapa kwa nini wanawapiga,akajibu kuwa serikali imelegalega sana,badala ya RC kushughulikia matatizo yao yupo bize na maandamano ya CCM
Polisi wametuliza kidogo na msafara unaelekea mbauda kwa mkutano
Ha ha ha ha ha ha ha! Mimi mwenyewe mwanangu wa miaka minne juzi kamrushia jiwe Balozi wa nyumba kumi wa CCM tena akimwita fisadi akaja kulalamika kwangu. Nikamwambia ampeleke polisi. Mpaka leo sijamuona akija na polisi!
Asije ikawa wewe ni mmoja wao waliorusha hayo mawe maana huaminiki kulingana lipoti yako hapa
Mngerusha ivo ivo jamani. Hawa magamba sasa ivi nikuwasulubu tu mpaka ifike 2015Kwa Mwanza imekuwa ngumu kurusha hata jiwe watu wenyewe wametolewa mbali vijijini wamechoka na wanatia huruma sana
Arusha na Mbeya wananchi wake walishaaumua zamani hawataki ujinga wa kuungana na wezi na majambazi wakisiasa CCM,hakika hao wanamabadiliko
Tunakoelekea ni kubaya sana. Leo nilikuwa naangalia kipindi cha Tuongee Asubuhi cha STAR TV, kuhusu Miaka 35 ya CCM, Mwanangu akaniambia baba zima TV zima TV. Nikamwuliza kwa nini? akaniambia huoni ni akina NAPE?
nikamwuliza kwani Nape anashida gani? akaniambia siwapendi kabisa hao Magamba!
Kwanini wasinge wachoma moto hayo majambazi? Shenzi zao . Ole wenu sisiem naitafuta dawa yenu.
Piga haooooooooooooooooooooooooooooooooo