Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
sio unakuwa sawa na mtu aliyejipaka mavi, unakiwa kinyesi kabisa....yani ukiweka kinyesi hapa, na ccm member akikaa pembeni wote sawa kabisa.
kinyesi na wao ni kitu ki1 ntalifanyia uchunguzi
sio unakuwa sawa na mtu aliyejipaka mavi, unakiwa kinyesi kabisa....yani ukiweka kinyesi hapa, na ccm member akikaa pembeni wote sawa kabisa.
na mama yako anayeuza vitunguu pale atakuwa hana AKIRI....sorry, akili.
Mkuu Heshima Kwako!!!
Mkuu! Huku mikoa ya pwani si unaijua? Jinsi walivyo legelege wasio penda kujituma ndivyo wanavyo taka serikali legelege isiyo weza kujituma. Wamelemee na hulka za kuomba omba kama serikali yao mkuu.
Mkuu! Hebu fikiria jinsi watu wa huko bara wanavyo pigana na mikikimikiki ya maisha ya kila siku, na mwisho wa siku hawaoni matunda stahili! Si rahisi kukumbatia ushenzi wa hii serikali ya MAGAMBA.
UKOMBOZI WA KWELI UTAANZIA BARA MKUU!!!! Kumbuka Mtemi Mirambo, Chifu Mkwawa na wengineo.
Nawasilisha
pale sokoni kamwe hapawezi kuwa na mtu mwenye akiri
Kama ni ukweli unachosema then ndugu yangu una matatizo makubwa sana. Kitendo cha wewe kama baba (mzazi) kushabikia mtoto wako kumpiga mawe mtu mzima, yeyote yule bila kujali chama, dini au itikadi ni ukosefu wa maadili (morals) kwa upande wako. Kama hiki ndicho kizazi cha leo, naisikitikia Tanzania yangu niliyokuwa naijua. Wanawarithisha nini watoto wao wa kesho kutwa? Nchi imekwisha.
jesus!! wamiaka mingapi huyo mwanao?
Mbona Lowasa yuko CCM !? Ina maana kajipaka mavi ?
Mkuu Mimi sijashabikia Mtoto wangu kumpiga Jiwe balozi wa CCM. Nilisikitika sana na ndiyo maana nilimwambia Balozi ampeleke mwanangu Polisi nashangaa akamgwaya Mtoto wangu wa Miaka minne tu! Sasa ulitaka nifanyeje?
Mwanao kaamka mapema sana namtabiria atakuja kuwa mwanaharakati
Kwa Mwanza imekuwa ngumu kurusha hata jiwe watu wenyewe wametolewa mbali vijijini wamechoka na wanatia huruma sana
Anataka umfundishe mtoto maadili wakati una njaa na mtoto ana njaa? Wacha wapigwe mawe shenzi yao! For his information, he has to notice that we are heading to transitional period, ambapo baadhi tutaingia msituni kudai haki. Haki kwanza maadili baadaye. Watu tuache upumbavu wa kufikiria kwa mazoea.
Kama ni ukweli unachosema then ndugu yangu una matatizo makubwa sana. Kitendo cha wewe kama baba (mzazi) kushabikia mtoto wako kumpiga mawe mtu mzima, yeyote yule bila kujali chama, dini au itikadi ni ukosefu wa maadili (morals) kwa upande wako. Kama hiki ndicho kizazi cha leo, naisikitikia Tanzania yangu niliyokuwa naijua. Wanawarithisha nini watoto wao wa kesho kutwa? Nchi imekwisha.
Ha ha ha ha ha ha ha! Mimi mwenyewe mwanangu wa miaka minne juzi kamrushia jiwe Balozi wa nyumba kumi wa CCM tena akimwita fisadi akaja kulalamika kwangu. Nikamwambia ampeleke polisi. Mpaka leo sijamuona akija na polisi!
Tafakari mkuu sina muda na wala siwezi hata siku moja kumfundisha mwanangu kuheshimu jitu kupe,jitu fisadi dawa yake ni kumfundisha mtoto kulipiga mawe sana sana manati ndo nzuri,kwani matendo ya mfisadi waliojazana huko CCM hujui impact kwa watoto wetu,hao ni wa kufundisha wanetu kuwabeza,kuwadharau na kuwapiga manati tu.Kama ni ukweli unachosema then ndugu yangu una matatizo makubwa sana. Kitendo cha wewe kama baba (mzazi) kushabikia mtoto wako kumpiga mawe mtu mzima, yeyote yule bila kujali chama, dini au itikadi ni ukosefu wa maadili (morals) kwa upande wako. Kama hiki ndicho kizazi cha leo, naisikitikia Tanzania yangu niliyokuwa naijua. Wanawarithisha nini watoto wao wa kesho kutwa? Nchi imekwisha.
Mbona Lowasa yuko CCM !? Ina maana kajipaka mavi ?
Futuhi wa JF.