Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Afanya ziara ya Kushtukiza Sokoni Kilombero

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
IMG-20160428-WA0031.jpg

IMG-20160428-WA0026.jpg

Leo katika soko la Kilombero Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Kalisti Lazoro Amefanya ziara ya Kushtukiza na amezungumza na wafanya biashara wa sokoni hapo na wamemweleza kero mbalimbali ambazo wanazo na amewahaidi atazishugulikia mapema sana.

Tukumbuke meya wa Arusha ni mtu wa kujituma sana na nimtu anasimamia anachokisema
 
Back
Top Bottom