Msafara wa CCM wapigwa Soko la Kilombero Arusha

Wakuu sio vizuri kujipa matumaini yasio na maana, Mwigulu alikuwa mgeni Rasmi Urambo leo hii tar 5 Feb nimefuatilia jana kafanya mikutano jimbon kwakean, tuchekeleea kamaa mbumbu kwamba leoleo karushiwa mawe kilombero amejigawaje
 
Tafakari mkuu sina muda na wala siwezi hata siku moja kumfundisha mwanangu kuheshimu jitu kupe,jitu fisadi dawa yake ni kumfundisha mtoto kulipiga mawe sana sana manati ndo nzuri,kwani matendo ya mfisadi waliojazana huko CCM hujui impact kwa watoto wetu,hao ni wa kufundisha wanetu kuwabeza,kuwadharau na kuwapiga manati tu.

Enzi zetu tuliimba Idd Amini akifa siwezi kulia nitamtupa kagera awe chakula cha mamba.lakin mpaka leo tuna nidhamu.
Nataka kusema ukimjua adui yako mfanye ajue hata ikiwezekana mwimbe.
Kumrushia mawe balozi kwa mtoto ni kuonyesha tu hisia zake.na wala siamini kama itamharibu kimaadil.kinachotakiwa ni kumwelekeza kwa upole kwan ni mzalendo wa kweli na ana uchungu na nchi yake.
 
Sasa nimeanini chadema moi waongo na jf ni chombo cha propoganda cha chadema. Mtembezi ya mshikamano yalipita sokoni wala hapakuwa na fujo yoyote. Wala RC wa Arusha hakuwepo, inasekana alikuwa safarini mwanza, sasa uongo kiasi hiki ni wa nini!
 
Sasa nimeanini chadema moi waongo na jf ni chombo cha propoganda cha chadema. Mtembezi ya mshikamano yalipita sokoni wala hapakuwa na fujo yoyote. Wala RC wa Arusha hakuwepo, inasekana alikuwa safarini mwanza, sasa uongo kiasi hiki ni wa nini!
We niaje???
Rc yupo Ar we ndo huna info.imekuchoma hii????
 
Mimi pia nilikutana nao mitaa ya posta wakielekea huko huko maeneo ya kilombero. Hawakuwa na jipya kwa kweli kwani walikuwa wanatembea kwa miguu halafu walikuwa wanahesabika. halafu walivyokuwa wanaonekana ni kwamba sio watu wa arusha mjini. wale watakuwa waliletwa kutoka vijiji vya jirani kwani walikuwa wamechoka sana wakiongozwa na jamaa wa vidonge vya mafua (S. WASIRA).Kwa idadi yao hakukuwa na sababu ya kuwarushia vitu, walipaswa wawatokezee na fimbo wawacharaze kama watoto wadogo.



Napita tu naenda kazini nitarudi baadae.
 
pale sokoni kamwe hapawezi kuwa na mtu mwenye akiri

kwa hiyo unanunua mahitaji yako kwa wendawazimu? maana hakuna mwenye akili, hauoni kuwa na wewe ni mwendawazimu nz ndio maana unaweza hata kufanya nao biashara wendawazimu wenzako?
 
jamani mimi nitakuwa tofauti na wengi humu,siipendi ccm na wala sitaipenda daima ila kwa kuwapiga bado sikubaliani,hawa watu ni wezi wanamiliki hela nyingi wana hasira hawataki kuachia nchi kwa sababu wanajua kitakacho wapata pindi watakapoingia waadilifu madarakani.
wanaweza kununua silaha wakatuletea vita.
naamini mwisho wa siku haki ndiyo itashinda.

yuko wapi mikhail chausesko,yupo wapi noriega,yupo wapi ben ali,yupo wapi sadam husen,yupo wapi mobutu seseseko kuku wa zabanga,yupo wapi idd amin dada?

saa inkuja na si mbali watanzania maskini wanaoibiwa utu kwa pilao na kofia watapata mkombozi.
hakuna haja ya kupiga mawe hao ni wenzetu tuliowapa dhamana wakatugeuka,wamesomea hela zetu,ni wasaliti hawa.

mungu hukaa upande wa wanyonge daima.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom