mopaomokonzi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 308
- 28
Wakuu sio vizuri kujipa matumaini yasio na maana, Mwigulu alikuwa mgeni Rasmi Urambo leo hii tar 5 Feb nimefuatilia jana kafanya mikutano jimbon kwakean, tuchekeleea kamaa mbumbu kwamba leoleo karushiwa mawe kilombero amejigawaje