Dar siku zote huwa ya mwisho halafu inapata credit, dar inabidi kujiangalia upya, tunahitaji mwamko mpya kwa watu wa dar maana ndio wasiojua kuwa nchi inahitaji mabadiliko
Lakini lazima tuwe na angalizo, siku dar ikilipuka CCM imetoka madarakani maana hapa kunabomu la vijana linafukuta
Lakini lazima tuwe na angalizo, siku dar ikilipuka CCM imetoka madarakani maana hapa kunabomu la vijana linafukuta