RayB JF-Expert Member Nov 27, 2009 2,751 196 Oct 23, 2010 #1 Hivi wanalugha kuna kitu kinanikanganya, ni neno gani la kiswahili linatumika badala ya neno la kiingereza 'respectively'?
Hivi wanalugha kuna kitu kinanikanganya, ni neno gani la kiswahili linatumika badala ya neno la kiingereza 'respectively'?
X-PASTER JF-Expert Member Feb 12, 2007 11,610 1,810 Oct 23, 2010 #3 RayB said: Hivi wanalugha kuna kitu kinanikanganya, ni neno gani la kiswahili linatumika badala ya neno la kiingereza 'respectively'? Click to expand... m fululizo, Mtawalia, mtiririko!
RayB said: Hivi wanalugha kuna kitu kinanikanganya, ni neno gani la kiswahili linatumika badala ya neno la kiingereza 'respectively'? Click to expand... m fululizo, Mtawalia, mtiririko!
Mtazamaji JF-Expert Member Feb 29, 2008 5,937 1,437 Oct 24, 2010 #4 Juma john na bakari wana miaka 23, 34 na 42 kwa mlololongo huo huo. lol kazi kweli kweli . sijui nani yuko sahihi. Mzee Shaban Gonga na khamis khakida wako wapi ?
Juma john na bakari wana miaka 23, 34 na 42 kwa mlololongo huo huo. lol kazi kweli kweli . sijui nani yuko sahihi. Mzee Shaban Gonga na khamis khakida wako wapi ?