Msaada

RayB

JF-Expert Member
Nov 27, 2009
2,751
196
Hivi wanalugha kuna kitu kinanikanganya, ni neno gani la kiswahili linatumika badala ya neno la kiingereza 'respectively'?
 
Juma john na bakari wana miaka 23, 34 na 42 kwa mlololongo huo huo.

lol kazi kweli kweli . sijui nani yuko sahihi.

Mzee Shaban Gonga na khamis khakida wako wapi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom