Wapendwa wana jamii, kuna eneo lipo BUNJU A. nahitaji kulinunua, lakini anae hitaji kuniuzia amejitaja kama ndg wa BALALI, Msaada ninao uhtaji ni kupata mawasiliano ya watoto au mke wa BALALI ili kujilidhisha kama halina mahusiano na famili hiyo ni nunue.