Naomba msaada wa mawazo katika hili

masaga ndoshi

Member
Apr 3, 2015
46
81
Habari zenu wana Jf, nina jambo napenda kuwashilikisha ili nipate mawazo yenu, kuna eneo lipo kijijini kwetu ili eneo ni mali ya mama yangu,.

Siku za hivi karibuni ilisadikika kuna madini kwenye ilo eneo watu walivamia lile eneo na kuanza kuchimba baada ya muda serikali ya kijiji ikaweka zuio la kuchimba sababu mwenye eneo hajatoa idhini ya watu kuchimba.

Sasa nahitaji lile eneo nikafanye kazi za uchimbaji mwenyewe sina uzoefu na kazi za madini na pia nahitaji kufanya upimaji ili kujua kama kweli madini yapo tatizo sina mtaji wa kuweza kufanya yote hayo nahitaji msaada wenu wa mawazo wana Jf nini nifanye
 
Kwanza kabla hujafanya chochote jenga fensi kwenye hilo eneo ili kulinda watu wasiingie kirahisi
 
Back
Top Bottom