OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
kazini kwetu kuna mama mmoja wa kiganda, anafanya kazi nasi kama marketing manager...ila ana mambo ya ''kiswahili'', majungu, fitina, na kampeni za kutaka kusababisha wote tuliopo tuachishwe kazi ili afanye kazi na watu wake... mahusiano yetu na boss wetu yamekuwa tofauti na zamani kabla hajaja, boss sasa haambiwi wala hasikii, na huyo mama anataka u-general manager kinguvu, na anataka atawale watu wote kazini... tufanyaje??