msigazi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 456
- 330
Wakuu habari za leo
Kuna simu ya mteja alileta chaji pia kufunguliwa Email
Nikajaribu kuifungua ikawa inakataa kulog in
Bahati mbaya nikapata dharula ya kwenda msibani
Kibandani nikaachia KIJANA
Nimerudi nimekuta simu hiyo Aina ya Samsung j1 haipo
Nimejaribu kumuulizia KIJANA anasema hakumbuki kuwa kulikuwa na j1 humu kibandani
Nimerudi tu huyo jamaa mwenye simu akaijia nikamuambia simu yake imepotea
Akaniambia iliyopotea Ni simu yangu
Yake ipo
Naomba msaada wenu wakuu
Nipate kuipata simu
Yaani hapa nilipo Raha Sina kabisa
MSAADA WENU unahitajika haraka sana.
Kuna simu ya mteja alileta chaji pia kufunguliwa Email
Nikajaribu kuifungua ikawa inakataa kulog in
Bahati mbaya nikapata dharula ya kwenda msibani
Kibandani nikaachia KIJANA
Nimerudi nimekuta simu hiyo Aina ya Samsung j1 haipo
Nimejaribu kumuulizia KIJANA anasema hakumbuki kuwa kulikuwa na j1 humu kibandani
Nimerudi tu huyo jamaa mwenye simu akaijia nikamuambia simu yake imepotea
Akaniambia iliyopotea Ni simu yangu
Yake ipo
Naomba msaada wenu wakuu
Nipate kuipata simu
Yaani hapa nilipo Raha Sina kabisa
MSAADA WENU unahitajika haraka sana.