Mimi ni kijana wa miaka 21 nipo Mkoani Mara, nimemaliza form four(4) mwaka 2018 na kufaulu Ila nilishindwa kuendelea na masomo kutokana na changamoto ya ada nikawa nafanya tu vibarua ndogondogo hapa mtaani
Ila kwa sasa kidogo nina kianzio cha kwenda kuanzia masomo, course ni DIPLOMA IN PHARMACY 3 years, yeyote atakayewiwa kunichangia hata hela ya sabuni asisite au japo kwa ushauri tu
Asanteni
Phone no 0766233977
Ila kwa sasa kidogo nina kianzio cha kwenda kuanzia masomo, course ni DIPLOMA IN PHARMACY 3 years, yeyote atakayewiwa kunichangia hata hela ya sabuni asisite au japo kwa ushauri tu
Asanteni
Phone no 0766233977