Msaada wenu: Baba yangu mzazi anataka kunitimua kwenye nyumba ya babu yetu

Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana. Tangu nimemaliza chuo, nimehangaika sana kupata kazi bila mafanikio. Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa. Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji.

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfuata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu, baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia. Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake.

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji. Wakuu, mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe.

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali.

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.
Nachelea kukwita jina baya lakini ukweli ni kwamba wewe ni baradhuli.
Kwanza, urithi wa babu kwa mjukuu haupo. Ila kama babu kwenye uhai wake alikupa kama zawadi, tunu n.k hiyo inaweza kukubalika.
Kitendo chako cha kulalamika 'eti baba yako anakufukuza toka kwenye nyumba ya babu' ni aibu kwa kijana wa kiume mwenye umri wako. Inaelekea wewe ni wale akina 'kula kulala'
TAFUTA CHAKO KWA JASHO LAKO NA HATA IKIBIDI KWA DAMU YAKO
 
Kosa lako liko kwenye aya ya 5-7.
Kuna watu wengi wenye allergy na kitimoto.achana nayo hiyo kitu .maana baba ni bora kuliko hiyo kitu
 
Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana. Tangu nimemaliza chuo, nimehangaika sana kupata kazi bila mafanikio. Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa. Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji.

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfuata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu, baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia. Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake.

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji. Wakuu, mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe.

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali.

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.
Hili andiko jf halikuwa mahali pake labda kwenye wataup group la CCM nahakika utatukanwa humuuu ijapokuwa sijasoma hata comment moja
 
Mzee yuko sahihi. Na akili zako zote hizo umesoma hakuna sera zozote za kueleweka zilizowekwa na serikali ya CCM kuhusu ajira. Huna kazi na unashabikia CCM.
Unakwenda nje ya mada na kama kazi anaweza hata kuuza karanga kama wanavyofanya wajasiria mali wadogo. Huyu jamaa ni mvivu, tegemezi na mlalamikaji. Nia aibu sana kwa kijana wa leo kuwa na mtizamo finyu wa maisha.
 
Dah! Imebidi nicheke kwanza maana ile naanza kusoma tu nilikuwa nishaingia miongoni mwa watia hasira
Kesi ya nyani umeileta kwa mkulima!

Acha nijiandae kusoma komenti watakutia hasira huku hadi ujikute unajuta kuandika uzi wako.
 
CCM CCM eeeeeeeeeeh heee chama cha mapinduzi CCM namba moja.

hata watoto wanajua CCM namba moja

hata baba ako anajua CCM namba moja

CCM CCM eeeeeh heee chama cha mapinduzi CCM namba moja.

nimemaliza na sina la kukushauri zaidi zaidi ntakwambia tu rejea AMRI YA NNE kwenye bible.
 
Kwa kweli kwa kijana mdogo kama wewe mwenye umri wa miaka 28 tu mi naona baba anakosea kukuambia uhame hapo nyumbani. Yeye anategemea kwa umri wako huo mdogo we utaenda wapi na ndio kwanza umemaliza chuo kikuu mwaka jana? Baba alitakiwa akuache kwenye kile chumba ambacho babu alikuachia na akasema usinyanyasike hapo nyumbani. Mimi nakushauri ukamripoti baba kwa mjumbe wa nyumba 10 ili uruhusiwe kuendelea kukaa hapo angalau kwa miaka 15 ijayo ili uwe umeshajipanga.
Ushauri mzuri sana
 
Habarini ndugu zangu wana JamiiForums, matumaini yangu mu wazima wa afya tele.

Nisiwachoshe niende kwenye mada moja kwa moja

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, nimemaliza chuo kikuu mwaka jana. Tangu nimemaliza chuo, nimehangaika sana kupata kazi bila mafanikio. Mwaka huu mwezi uliopita nilibahatika kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura kwenye uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa.

Baba yangu alikataa kabisa nisijihusishe kwenye mambo yoyote yanayohusiana na siasa kwa hiyo hakupendezwa. Baada ya hilo zoezi la uandikishaji kuisha, juzi Ijumaa kuna mjumbe wa chama cha mapinduzi (CCM) aliniambia kuwa nimtafutie wanachama 20 tu kwa ajili ya maandalizi ya uchaguzi huu wa Serikali za Mitaa, na kuahidi atanipa pesa ya maji.

Pale home jumla tupo watu 7 pamoja na ndugu wengine, nilitaka kwanza kuanza na familia yangu, nilimfuata baba yangu na kumueleza kuwa na yeye awe mmoja wapo katika watu 20 nilioombwa na mjumbe

Ndugu zangu, baba alinitukana matusi mazito, siwezi kuyaandika hapa, mpaka kufikia kuniambia nitakuwa nimelaaniwa na dunia. Kaenda mbali zaidi ananimbia kama ntashilikiana na watu wa CCM na kumhusisha yeye, ataniondoa kwenye nyumba tunayoishi, ukizingatia hiyo nyumba ni ya babu yangu ambaye yeye ni baba yake.

Marehemu babu yangu kabla ya kufariki alisema kabisa na wazi kuwa nisinyanyasike kwenye ule mji. Wakuu, mpaka ninapoandika hapa, baba atoa vitu vyangu nje, anasema nikahamie kwa huyo mjumbe.

Naombeni ushauri wenu wakuu, nataka kuipigania haki yangu, maana babu alisema kile chumba nilichokuwa nakaa ni mali yangu halali.

Nipo katika wakati mkuu, nisaidieni niende polisi au nifanye nini wakuu?

Asanteni.
Muombe msamaa baba yako ndugu yangu. Kisha tulia tuli. Siku ukipata ajira au ukijiajiri na kupata kwako unaweza sasa ukaamua mambo yako. Kwa sasa upo chini ya himaya yake. Jifanye mjinga, hapo suala la siasa za CHADEMA na CCM sioni kama ndio chanzo. Shida ni kutoheshimu maamuzi na matakwa ya baba.

Leo ni masuala ya CCM kesho yataibuka mengine. Jifunze kuishi na mzee wako kijana.

Siku nyingine ukihitaji ushauri sema chanzo ni CHADEMA wanajamvi watakupa ushauri. Ukileta habari za CCM hapa huwezi kusaidiwa. Wengi ni wahanga na CCM humu. Nisiongee sana. Ushauri ndio huo
 
Nyumba ni mali za watoto sasa babu mtoto wake ni baba wewe nenda kwenye nyumba aliyo jenga baba
 
Mkuu unajua saa nyingine ukishagundua mtu hajitambui bora na wewe umshauri kile anachotaka kusikia. Kama ana akili atasoma katikati ya mistari.
Umempa ushauri mzuri msomi huyo.
mkuu kiuhalisia wengi hushindwa kuzibadili elimu kutengeneza fursa.
 
Back
Top Bottom