Warren T
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 664
- 409
Acha uongo mkuu, siku hizi dunia ni ndogo sana, rais hajaanza kuongea!!Naona hao wazee washaanza kumsikiliza Rais.
Acha uongo mkuu, siku hizi dunia ni ndogo sana, rais hajaanza kuongea!!Naona hao wazee washaanza kumsikiliza Rais.
Mkuu sidhani kama kukutana na wazee ni kitu cha ovyo. Kikubwa ajitahidi kukutana na makundi mbalimbali kutegemea na nafasi yake. Makundi ni mengi lakini yanaweza kuunganishwa na kuwa na makundi machache yenye wawakilishi kadhaa kutoka kila kundi dogo.Magu aje kivingine, atafute kukutana na mikutano ya wasomi kama vile chuo. Mikutano na vizee ni utamaduni wa hovyo wa waliomtangulia.
Hapo kweli, wazee ni tunu, si vema kuwakataa... umesema vemaMkuu sidhani kama kukutana na wazee ni kitu cha ovyo. Kikubwa ajitahidi kukutana na makundi mbalimbali kutegemea na nafasi yake. Makundi ni mengi lakini yanaweza kuunganishwa na kuwa na makundi machache yenye wawakilishi kadhaa kutoka kila kundi dogo.
Hio List imejaa WAISLAMU watupu.unapozungumzia chimbuko la wazee wa DSM unaanzia hapa kwa wazee hawa
![]()
waliokuwa chimbuko la vuguvugu la kuwania uhuru na utaratibu huu wa kuzungumza nao aliuazisha MWALIMU NYERERE akaurithisha kwa maraisi wengne waliomfatia
Kutoka kulia waliosimama. 1. Abdallah Shomari
(Tandamti no. 3 )2. Nassoro kalumbanya (simba
str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia
(Misheni kota) 6. Julius Nyerere( Pugu
Sekondari ) 7. Said Chaurembo (Congo/
Mkunguni str.) 8. Jumbe Tambaza( Upanga ) 9.
Sheikh Suleiman Takadir (Mafia /Swahili) 10.
Dossa Aziz ( Mbaruku /Somali kipande ) 11.
Mshume Kiyate (Tandamti) 12. Juma Sultan
(Kitchwele karibu na kanisa dogo ) 13. Maalim
Shubeti (Masasi/...
nadhani hapo utapata picha wazee wa dsm ni watu gani na wana heshima ipi ktk serikari ya TANGANYIKA(sio tanzania mana tanzania ishakufa kitambo)
alafu¿¿¿¿¿ wazee wapo Dar tu?
Akaongee na wazee wa Pemba piaHao ni wazee wanao ishi dar
Sio lazima wawe ccm pekee
Na unapo sema wazee hapo wanalengwa wale wenye busara
Usuje mleta yule mamvi Fisadi No
umetumia kigezo gani kujua hao ni Waislam tu?Hio List imejaa WAISLAMU watupu.
Halafu yanakuja majitu yasiojua historia ya Nchi hii na kuanza kutukana Waislamu.
Mnfnssssssss. Wagala nuksi sana.
Teh teh teh.U
umetumia kigezo gani kujua hao ni Waislam tu?
Mbona unajibu kikafiri?Teh teh teh.
Maswali mengine ni upumbavu uliopita Kiasi.
Pole sana mpambe wa Dr Slaa
naruhusiwa kucheka????Hao wazee ni wacheza bao Lumumba wana njaaaa
Teh teh teh.Mbona unajibu kikafiri?
Mkuu, hiyo tunu ni kwa wazee wa dar tuu au na mikoa mingine!??Hapo kweli, wazee ni tunu, si vema kuwakataa... umesema vema
U
umetumia kigezo gani kujua hao ni Waislam tu?
Hata bila kuangalia majina ya hawa Wazee we huko Bukoba Umeshawahi kukutana na Mgalatia kafuga ndevu kavaa kanzu na Kofia?Mbona unajibu kikafiri?
Anyone above 70 having a permanent establishment in Dar es salaam.Habari wanajukwaa..
Nimekuwa nikijiuliza kila siku, hivi hawa wazee wa DSM ni akina nani zaidi!??
Wana mahusiano gani na serikali, maana nimesikia kuwa mh. Dk. JPM naye atazungumza nao.
Na kama ni wazee wa kawaida tuu kama walivyo wazee wengine, sasa kwa nini iwe wazee wa DSM tuu!?
Kwa nini kusiwe pia na vikao na wazee wa mikoa mingine!?
Ahsante, karibuni tuelimishane...
haaahaaaaaah mkuu mbavu zangu mie, mzito amekuwa mzito kaa jiwe, huwa anajitoa ufahamu huyo, KICHWA KIZITO CHA KABWELA, bora angelijiita mzito lofaHata bila kuangalia majina ya hawa Wazee we huko Bukoba Umeshawahi kukutana na Mgalatia kafuga ndevu kavaa kanzu na Kofia?
Hivi wewe kuitwa Mzito basi umekuwa Mzito kuanzia kichwani mpk chini sio?