Msaada, wazee wa DSM ni akina nani

Msaada, wazee wa DSM ni akina nani

Hio List imejaa WAISLAMU watupu.

Halafu yanakuja majitu yasiojua historia ya Nchi hii na kuanza kutukana Waislamu.

Mnfnssssssss. Wagala nuksi sana.
nuksi kweli hao watu mkuu, mijitu yenye roho mbaya
 
haaahaaaaaah mkuu mbavu zangu mie, mzito amekuwa mzito kaa jiwe, huwa anajitoa ufahamu huyo, KICHWA KIZITO CHA KABWELA, bora angelijiita mzito lofa
Huyu sio anajitoa ufahamu, hio fahamu aipate wapi?

Hata kuku akifundishwa kitu anaweza kuelewa!

We unaona mtu anaitwa Abdallah. Kavaa kanzu na Kofia halafu kafuga na Ndevu na Ni maarufu sana tu ktk Harakati za kupigania Uhuru PAMOJA na IMANI YAKE halafu Anakuja mtu kuuliza "Hivi wewe umejuaje km huyu ni Muislamu?"

Hilo ni swali la mtu mwenye Fahamu timamu kweli?

Halafu nikimshauri Aende kwa mtaalamu wa Mambo ya akili ananiita Kafiri!

Teh teh teh teh. Huyu ni mzito kweli kweli
 
unapozungumzia chimbuko la wazee wa DSM unaanzia hapa kwa wazee hawa
c7f8f7799560be4cb366911d602ed835.jpg

waliokuwa chimbuko la vuguvugu la kuwania uhuru na utaratibu huu wa kuzungumza nao aliuazisha MWALIMU NYERERE akaurithisha kwa maraisi wengne waliomfatia

Kutoka kulia waliosimama. 1. Abdallah Shomari
(Tandamti no. 3 )2. Nassoro kalumbanya (simba
str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia
(Misheni kota) 6. Julius Nyerere( Pugu
Sekondari ) 7. Said Chaurembo (Congo/
Mkunguni str.) 8. Jumbe Tambaza( Upanga ) 9.
Sheikh Suleiman Takadir (Mafia /Swahili) 10.
Dossa Aziz ( Mbaruku /Somali kipande ) 11.
Mshume Kiyate (Tandamti) 12. Juma Sultan
(Kitchwele karibu na kanisa dogo ) 13. Maalim
Shubeti (Masasi/...

nadhani hapo utapata picha wazee wa dsm ni watu gani na wana heshima ipi ktk serikari ya TANGANYIKA(sio tanzania mana tanzania ishakufa kitambo)
Asante sana kwa picha hii.
 
Wagalatia baada ya uhuru wanataka kuifanya nchi hii ya kwao peke yao kwa kujigawia madaraka pekeyao huku wapigania uhuru wengi walikuwa ni waislam daah kweli hii mijitu ina roho mbaya
 
Back
Top Bottom