unapozungumzia chimbuko la wazee wa DSM unaanzia hapa kwa wazee hawa
waliokuwa chimbuko la vuguvugu la kuwania uhuru na utaratibu huu wa kuzungumza nao aliuazisha MWALIMU NYERERE akaurithisha kwa maraisi wengne waliomfatia
Kutoka kulia waliosimama. 1. Abdallah Shomari
(Tandamti no. 3 )2. Nassoro kalumbanya (simba
str.) 3. Said Chamwenyewe (Aggrey/Congo str.)
4. Mtoro Ally (Muhonda str.) 5. John Rupia
(Misheni kota) 6. Julius Nyerere( Pugu
Sekondari ) 7. Said Chaurembo (Congo/
Mkunguni str.) 8. Jumbe Tambaza( Upanga ) 9.
Sheikh Suleiman Takadir (Mafia /Swahili) 10.
Dossa Aziz ( Mbaruku /Somali kipande ) 11.
Mshume Kiyate (Tandamti) 12. Juma Sultan
(Kitchwele karibu na kanisa dogo ) 13. Maalim
Shubeti (Masasi/...
nadhani hapo utapata picha wazee wa dsm ni watu gani na wana heshima ipi ktk serikari ya TANGANYIKA(sio tanzania mana tanzania ishakufa kitambo)