msaada waungwana

PingPong

JF-Expert Member
Dec 21, 2008
926
160
Wakuu naomba mnisaidie kunipa shule jinsi ya kurestore OS ya zamani, coz kuna vitu nilivitunza kwenye desktop so nilipoiformat vikapotea na bado navihitaji. Nilliwahi kusikia kuwa inawezekana kuviona tena vitu ulivyoviweka kwenye desktop kwa kufanya maujanja flani, kwa hiyo naombeni msaada wenu wakuu kwa anaefahamu. Os yangu ni windows xp hata ya zamani pia ni hiyohiyo.
 
Mkuu msaada utapata hapa jamvini,ila nakushauri unyooshe maelezo yako..
 
Wakuu naomba mnisaidie kunipa shule jinsi ya kurestore OS ya zamani, coz kuna vitu nilivitunza kwenye desktop so nilipoiformat vikapotea na bado navihitaji. Nilliwahi kusikia kuwa inawezekana kuviona tena vitu ulivyoviweka kwenye desktop kwa kufanya maujanja flani, kwa hiyo naombeni msaada wenu wakuu kwa anaefahamu. Os yangu ni windows xp hata ya zamani pia ni hiyohiyo.

Kama ulichoandika ndicho unamaanisha basi haiwezekani. Labda ingekuwa rahisi kama ulifanya OS repair na Sio fresh installation

Ebu waambie wataalam hivyo vitu ni kama vitu gani . vitaje kwa majina japo viwili vilivyo vya muhimu kwanza .isijei kuwa ni shortcut tu ya application fulani fulani kama nihivyo may be
 
uisweke data yoyote wala usiiwashe computer yako kwa sasa. Uwezekano wa kuzipata data upo ingawa wa kuzikosa pia upo! Hebu eleza baada yaku format ndio unaitumia mpaka leo. Check kitu inaitwa testdisk
 
Upo mkoa upi?
Unaweza recover all haddisk data kwa kutumia software za data recovery,Lakini itabidi hiyo hdd yenye hizo data unazozitafuta iwe slave. Ni pm email yako nikutumie software itakayokusaidia kufanya kazi hiyo na kama upo Dar basi Ni PM ili tuonane nikusaidie
Pole sana mkuu
 
Upo mkoa upi?
Unaweza recover all haddisk data kwa kutumia software za data recovery,Lakini itabidi hiyo hdd yenye hizo data unazozitafuta iwe slave. Ni pm email yako nikutumie software itakayokusaidia kufanya kazi hiyo na kama upo Dar basi Ni PM ili tuonane nikusaidie
Pole sana mkuu

shukran sana mkuu, mi nipo nje ya Tz. Nitakutumia mail yangu kwenye pm then nitakupa impact kama nitakuwa nimefanikiwa.
 
Hiyo System restore ni tofauti. Inabackup SOME system file only, na anyway ulipoformat na hizo za restore umezifuta nazo.
 
Kama wataalam wengine walivyokueleza hapo juu, uwezekano upo 5% kama utaifanya mwenyewe na 100% ukiwapelekea wataalamu wa data recovery. @PingPong Ku-restore windows to a previous state ina work kama hiyo Operating system imeleta shida especially kama umeinstall apps mpya then unatumia hiyo tools to revert, lakini kwa tatizo la mkuu hiyo haitawezekana kuitumia.
 
Wakuu naomba mnisaidie kunipa shule jinsi ya kurestore OS ya zamani, coz kuna vitu nilivitunza kwenye desktop so nilipoiformat vikapotea na bado navihitaji. Nilliwahi kusikia kuwa inawezekana kuviona tena vitu ulivyoviweka kwenye desktop kwa kufanya maujanja flani, kwa hiyo naombeni msaada wenu wakuu kwa anaefahamu. Os yangu ni windows xp hata ya zamani pia ni hiyohiyo.


Upo mkoa upi?
Unaweza recover all haddisk data kwa kutumia software za data recovery,Lakini itabidi hiyo hdd yenye hizo data unazozitafuta iwe slave. Ni pm email yako nikutumie software itakayokusaidia kufanya kazi hiyo na kama upo Dar basi Ni PM ili tuonane nikusaidie
Pole sana mkuu

Tumia RECUVA, inapatikana hapa Recuva - Undelete, Unerase, File and Disk Recovery - Free Download au hapa Download Recuva 1.39.509 - FileHippo.com unaweza kuzipata data zako. Mie nilishaijaribu katika formated hard disk na ikafanya kazi vizuri tu.

 
also try recover my files..freeware...works perfect. i have been using several times and getting all my files back, getdataback its a bit complecated though also good one
 
Mie naona wakuu mnachanga baina ya DELETE na FORMAT. Naona softwere nyingi mnazoshauri ni kurecover files zilizokuwa deleted, au crashed HD, ila naona tatizo asilia ni kuwa HD imekuwa formatted na OS mpya ikawekwa juu yake. Kupatikana kwa mafaili ya zamani ni kizungumkuti hapo.
 
Upo mkoa upi?
Unaweza recover all haddisk data kwa kutumia software za data recovery,Lakini itabidi hiyo hdd yenye hizo data unazozitafuta iwe slave. Ni pm email yako nikutumie software itakayokusaidia kufanya kazi hiyo na kama upo Dar basi Ni PM ili tuonane nikusaidie
Pole sana mkuu
Kwanini usiweke hapa ili wengi wapate faidika mkuu
 
Umecheck option yangu ya kutumia testdisk? Inaweza ku recover deleted files, deleted partitions, .....et al!
 
wakuu nashukuru kwa michango yenu japo nililokuwa nalitafuta sikuweza kufanikiwa ila katika kutafuta huko nimejikuta napata na vingine nilivyokuwa navihitaji, kwa ujumla hizo software zote na technique mlizonipa zimekuwa zinaweza kupatikana kwa deleted files hata zile zilizokuwa deleted from recycle bin, kwa hili suala la kupata files from formated OS bado sijalipatia ufumbuzi. All in all nawashukuru sana Mungu awabariki na tuendelee kupeana hizi shule.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom