Habari zenu wakuu!!
laptop yangu ni Lenovo g570 ilikua na window 7 ultimate 64 -bit,ilikorofisha nikaiformat nikairudishia window 7 ultimate 64bit,tatizo linakuja haikubali kuinstall baadhi ya programs kama office,adobe reader,na zingine nyingi pia ukiclick set up file inakua inaload kidogo halafu inaacha pia Nina kawaida ya kuweka os 2 nyingine ni linux, sasa sifahamu tatizo litakua wapi?? au kuna settings natakiwa kuzirekebsha naombeni msaada wenu coz kuna kazi inabdi ifanyike nisubmit j3.
laptop yangu ni Lenovo g570 ilikua na window 7 ultimate 64 -bit,ilikorofisha nikaiformat nikairudishia window 7 ultimate 64bit,tatizo linakuja haikubali kuinstall baadhi ya programs kama office,adobe reader,na zingine nyingi pia ukiclick set up file inakua inaload kidogo halafu inaacha pia Nina kawaida ya kuweka os 2 nyingine ni linux, sasa sifahamu tatizo litakua wapi?? au kuna settings natakiwa kuzirekebsha naombeni msaada wenu coz kuna kazi inabdi ifanyike nisubmit j3.