Msaada: Wapi ilipo huduma mzuri ya kung'oa meno?

Puna

JF-Expert Member
Oct 9, 2013
2,348
3,807
Mlioko Dar es Salaam ni wapi wanahuduma mzuri ya kug'oa meno na gharama zake au kama wanapokea bima ya NHIF.

Asanteni.
 
Mkuu achana an kung'oa meno..suluhisho ni kusafisha Hilo jino an kuziba kama kuna tundu
 
Back
Top Bottom