Nyuki baby
Member
- Feb 24, 2012
- 85
- 8
Nataka kubadili jina JF kwani manzi wangu kajiunga nimegundua jana baada ya kupost habari nae kunijibu kwamba ashajua nami nimo! Na sababu ya kutaka kubadili ni kwamba kuna time zingine uwa na post matatizo yangu ambayo yeye apaswi kujua! nisaidieni jamanh!