hawa jamaa waltangaza kazi nika-apply so wameniita kwenye interview yao j3. nahitaji info zaidi wanashughulika na nini na kama ni watu makini. maana sisi wengine tuko mikoani so trip hadi dar ujipange. kazi ilikua ZoomTanzaniahone:
wamesema wapo golden jubilee tower opposite na ppf tower in mezanine floor. nahitaji maoni ya kuhakikisha hizo taarifa wanajamii wenzangu.
wamesema wapo golden jubilee tower opposite na ppf tower in mezanine floor. nahitaji maoni ya kuhakikisha hizo taarifa wanajamii wenzangu.