ashraf
Member
- Mar 15, 2011
- 30
- 7
Nina division 1 ya point 17..nina B 4 na C 5 na cna mpango wa advance,nataka kwenda chuo ila mpaka sasa naumiza kichwa cjui naenda chuo gani...nina mpango wa kusoma kati ya haya I.T,I.C.T,archtcture au mining...,na je naweza kupata ufadhl wa kserikali?na izt lazma nianze certificate??plz help