galileo zach
Senior Member
- Nov 6, 2015
- 116
- 72
Habari zenu, naombeni msaada nimekuwa na tatizo la fungasi sehemu za siri kwa muda.
Nilipima VDRL nikawa sina kitu ndio nikaambiwa kwamba ni fungus ila mpaka kujua hilo nilikuwa nimeanza kutoka vipele sehemu za siri haswa kwenye mkanda karibu na kichwa vinatoa maji na kuwashwa halaf baadae vinakuwa kama vidonda.
Nimepewa dawa nyingi sana za kupaka ila hazisaidi nikachuma na sindano 5 za powersafe ila bado naombeni msaada kwa sasa hadi nikikojoa karibu na kichwa nasikia maumivu makali.
Naombeni msaada wakuu.
Nilipima VDRL nikawa sina kitu ndio nikaambiwa kwamba ni fungus ila mpaka kujua hilo nilikuwa nimeanza kutoka vipele sehemu za siri haswa kwenye mkanda karibu na kichwa vinatoa maji na kuwashwa halaf baadae vinakuwa kama vidonda.
Nimepewa dawa nyingi sana za kupaka ila hazisaidi nikachuma na sindano 5 za powersafe ila bado naombeni msaada kwa sasa hadi nikikojoa karibu na kichwa nasikia maumivu makali.
Naombeni msaada wakuu.