Msaada wakuu, tamaa imeniponza

Msaada wakuu, tamaa imeniponza

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,514
Reaction score
3,372
Kuna mdogo wa Mke wangu amekuja toka mkoa kwa ajili ya kwenda Chuo,amechaguliwa Chuo cha Ustawi hapo Kijitonyama. Sasa akisubiria kwenda zake kuripoti Mzee si nikapatwa na Malaria hivyo nikatulia home kwa siku mbili nikawa siendi job.
Wife yeye kama kawa akawa anaenda zake job na kurudi jioni, mimi nikawa home nipo na beki tatu pamoja na shem wakiniuguza.

Shemeji akawa analeta mitego, siku ya kwanza nikajifanya sijaona. Siku ya pili hivyohivyo ila ya tatu akaja kuniletea uji asubuhi akiwa amevaa khanga moja huku ndani nikiona Pichu yake mpaka rangi, uzalendo ukaniisha nikamzuia akaonyesha ushirikiano.

Kimbembe kimekuja muda wa gemu jogoo amegoma kufanya yake. Nimehangaika lakini wapi nikamuacha. Sasa toka juzi mpaka leo ni siku ya nne jogoo amepoa tu kama anaumwa mdondo, huku shem nae anaonyesha dharau za wazi kabisa. Wadau nisaidieni nirudi katika hali yangu ya zamani maana Wife sijampa haki yake kwa kisingizio cha kuumwa, ila sasa muda ukifika nitaumbuka, Nisaidieni ili nisiadhirike maana tamaa imeniponza.
 
Kuna baadhi ya wanaume ambao wanawivu sana na wanaogopa kumegewa huweka tego kwa wake au wapenzi wao.
Sasa km na ww ni mzee wa ngono, inaweza kula kwako yaan usiweze simamisha milele

kuwa makini sana siyo kila mwanamke unaweza kumpanda.

Subiri upone kbsa malaria yako ndiyo ujue km una tatizo
 
Mkuu;
Ilikuwa ni mpango wa Mola wako. Siku hiyo hiyo ingenasa na wiki ijayo shem angeanza kutaapika asubuhi na kujisikia kichef chef. Ukichanganya tena na kukosa mkopo, nadhani hata kuzirai ingemhusu.
Mshukuru maulana kwa kukuepusha na msala huu. Ngoja ukipona tu, mama utampa haki yake na mpaka shem asikie mguno chumbani mwake.
Mbona hamna hofu jamani. Umlambe mtu na mdogo wake!! Hofu imeenda wapi?? Miye nilikuwa mpuuzi sana zamani lakini shem nilimuona ka mwanangu wala si dadangu. Hata angelikuja ana skin tight, simuwazii mabaya, namwona ka mwanagu tu. Ona sasa, aibu imekupata, siku utazimia ni atakapo muuliza dadake, Unaishije na mtu si rijali? Pole kwa homa mbili hizo
 
ahaha mueleze mkeo kila kitu na uwe wazi usibakize atakuelewa.... na tatizo ndo litaisha ila kwa jf utaongezewa stress tu.
 
Hali ya kawaida hiyo kwa mgonjwa wa malaria.
Wengine wanapata hamu ya mapenzi sana ila madhara yake ukifanya unaweza fia au kuzimia kifuani wengine ndio kama wewe haisimami inategemea na aina ya dawa pia.
Ndio maana doctor atakuuliza huwa unatumia dawa gani unapo ugua hakupi ovyo ila kama nawewe hujajitambua basi ndio madhara hayo lakini yanaisha dawa ikitoka mwilini.
Ila mzee umedhalilika!
 
Back
Top Bottom