walau kuna umenipa matumainiHali ya kawaida hiyo kwa mgonjwa wa malaria.
Wengine wanapata hamu ya mapenzi sana ila madhara yake ukifanya unaweza fia au kuzimia kifuani wengine ndio kama wewe haisimami inategemea na aina ya dawa pia.
Ndio maana doctor atakuuliza huwa unatumia dawa gani unapo ugua hakupi ovyo ila kama nawewe hujajitambua basi ndio madhara hayo lakini yanaisha dawa ikitoka mwilini.
Ila mzee umedhalilika!
kama ni kweli basi watatuua. Sasa wakifa inakuaje?Pole kaka mkeo ameshakupiga kipapai..... Yaani jogoo anawikia kwa mkeo tu, hiyo dawa imezagaa mjini hapa wanawake wengi wanawafanyia wapenzi wao hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata sijaelewawewe umeelewaje?
kuna watu mnaroho mbaya.Safi sana na isisimame Ili akome ,,, hawa ndio wanaume wanaotutia aibu kwa wadogo zetu kwa sababu ya umalaya wew siulisema ujana basi ukaamua kuambatana na mkeo leo kwa shem unataka nin wew uko na roho ya majini Mahaba nataman ungemlala mbaki hivo hivo mkiwa mmelalana mkeo aje akukute hivo Ili ajue ana mume wa aina gani
Ndo madude gani mkuu..?!Tumia mhanzagala..... au mkuyati