MSAADA WAKUU MWENYE KUFAHAMU HILI

MSAADA WAKUU MWENYE KUFAHAMU HILI

Sio majina tu huyo hata message anasoma kupitia gmail tu.. ni rahisi kuweka na rahisi kutoa pia
 
Habari Wana jf, msaada mwenye kufahamu hili Kuna jamaa yangu simu yake inaingiliana baadhi ya vitu na mke wake mfano kwenye phone book jamaa akisave no. ya simu kwenye simu yake mke wake naye kwenye cm yake inatokea, pili kwenye upande wa facebook jamaa akitumia fb mfano kuchat messenger mkewe nae anazipata zote msg so hajui apo amehackiwa au inakuaje pia solution inaweza kuwa ni nini...Asanteni
Angalia email zao kama ni sawa ndio contact lazima zionekane sababu Wana access kutoka account Moja.



Hiyo ya fb mmoja ana messenger na rb mwingine ana Facebook tu alafu kwenye messenger anatumia account ya MKEWE mbona simple tu
 
Habari Wana jf, msaada mwenye kufahamu hili Kuna jamaa yangu simu yake inaingiliana baadhi ya vitu na mke wake mfano kwenye phone book jamaa akisave no. ya simu kwenye simu yake mke wake naye kwenye cm yake inatokea, pili kwenye upande wa facebook jamaa akitumia fb mfano kuchat messenger mkewe nae anazipata zote msg so hajui apo amehackiwa au inakuaje pia solution inaweza kuwa ni nini...Asanteni
Inaonekana hapo wanatumia email moja,email ilio kuwa saved kwenye google account kwenye simu ya mkewe ndo hiyo alo save kwake,hapo abadilishe email ya google account kwenye simu yake.
 
Kuhusu hilo atoe hiyo email anayotumia aweke nyingine mpya
Kuhusu messenger ya fb ni kwamba mkewe katumia namba ya mumewe kujiunga huko so inatakiwa abadili namba aliyoitumia messenger kama katumia email basi na kwa mke wake ni iyoiyo

Afanye yafuatayo
Abadili email ya simu yake
Pili aangalie messenger ya fb kama ametumia namba bs nayo aibadili
Hapo kesi imeishaaaaaaa
 
kama ni jamaa yako masuala yake ya ndoa muachie mwenyewe kama ni wewe sema ili upewe ufumbuzi.
 
Hyo ndo solution!
We piga *21#
Hii nadhani kama mawasiliano yake yamechepushwa ila kwa case yake inaonekana alishawahi kutumia simu ya mkewe kuaccess account zake kwa njia ya email.

So aende akaondoe email yake kwa simu ya mkewe then abadili password yake kwa mitandao ya kijamii na aongeze authentication kwaajiri ya ulinzi zaidi.
 
Habari Wana jf, msaada mwenye kufahamu hili Kuna jamaa yangu simu yake inaingiliana baadhi ya vitu na mke wake mfano kwenye phone book jamaa akisave no. ya simu kwenye simu yake mke wake naye kwenye cm yake inatokea, pili kwenye upande wa facebook jamaa akitumia fb mfano kuchat messenger mkewe nae anazipata zote msg so hajui apo amehackiwa au inakuaje pia solution inaweza kuwa ni nini...Asanteni
Afute email kwa mke wake
Pia atengeneze email ya mke wake then yeye hiyo email asiweke kwa simu yake
OVA
 
Anzie kukagua email,kama iko same na simu ya mkewe au alishawahi log in na email anayo itumia kwenye cm ya mkewe aende aka remove. Stage 1
 
Habari Wana jf, msaada mwenye kufahamu hili Kuna jamaa yangu simu yake inaingiliana baadhi ya vitu na mke wake mfano kwenye phone book jamaa akisave no. ya simu kwenye simu yake mke wake naye kwenye cm yake inatokea, pili kwenye upande wa facebook jamaa akitumia fb mfano kuchat messenger mkewe nae anazipata zote msg so hajui apo amehackiwa au inakuaje pia solution inaweza kuwa ni nini...Asanteni
Hizo simu mbili zote awali zilitumiwa na mtu mmoja ambaye ktk settings zake kaweka email yake hivyo hiyo email ndiyo inayo weka hizo taarifa pamoja.
 
Habari Wana jf, msaada mwenye kufahamu hili Kuna jamaa yangu simu yake inaingiliana baadhi ya vitu na mke wake mfano kwenye phone book jamaa akisave no. ya simu kwenye simu yake mke wake naye kwenye cm yake inatokea, pili kwenye upande wa facebook jamaa akitumia fb mfano kuchat messenger mkewe nae anazipata zote msg so hajui apo amehackiwa au inakuaje pia solution inaweza kuwa ni nini...Asanteni
Mkeo hakuamini, mwenzetu ni mchepukaji nini? Huyo kakutegea software ili awe anamonitor mienendo yako na wanawake unaowasiliana nao, acha tu uzinzi kiongozi, uishi kwa amani na mkeo.
 
Back
Top Bottom