MSAADA WAKUBWA

Mkuu nipo wakati mgumu sana ndo maana nikaandika hivi ila nisha cancel hii mission staki tena msaada nmeamua nitafute kazi tu nitapata pengine kwa nilio wakwaza naombeni mnisamehe ni kupagawa tu kwenye haya maisha.
 
Mkuu nipo wakati mgumu sana ndo maana nikaandika hivi ila nisha cancel hii mission staki tena msaada nmeamua nitafute kazi tu nitapata pengine kwa nilio wakwaza naombeni mnisamehe ni kupagawa tu kwenye haya maisha.
Nimekuelewa vizuri, usijali utapata kazi nyingine na maisha yataenda
Na humu kama ulivyosema kuna kila aina ya watu, hivyo basi kama nimekuwa harsh kwako nisamehe pia
 
Pole sana mkuu ishu hapo ili NSSF wakulipe ni lazma uwe na termination letter,kiapo cha hakimu au mwanasheria kwamba huna kazi na Nssf wangekulipa kwanza fao la kukosa ajira miezi 6 yaani mshahara wako 33.3%.
Mwisho kwa uzoefu wangu PSSF nilifuatilia mafao ila wao baada ya kugundua hizo ishu za kufoji barua na Mhuri kwa saa hivi PSSSF barua ya kuomba kulipwa baada ya mkataba kuisha ataipeleka Afisa utumishi wa ofisi husika na kuna sehemu yao ya kusaini.
 
Kwaiyo mkuu nikienda mahakamani nikipata hiko kiapo nikipeleka NSSF nitaweza kufatilia mafao? Bila kuwa na termination letter?? Na gharama za hiyo form ya kiapo ni shngp mkuu?
 
Kwaiyo mkuu nikienda mahakamani nikipata hiko kiapo nikipeleka NSSF nitaweza kufatilia mafao? Bila kuwa na termination letter?? Na gharama za hiyo form ya kiapo ni shngp mkuu?
Huwezi kupewa mafao hivyo ni viambatanisho vinavyotakiwa
1.Termination letter
2.kiapo cha kukosa ajira
3.Certified Copy of Nida
4.Bank statement iliyokua inapitisha mshahara.
 
Huwezi kupewa mafao hivyo ni viambatanisho vinavyotakiwa
1.Termination letter
2.kiapo cha kukosa ajira
3.Certified Copy of Nida
4.Bank statement iliyokua inapitisha mshahara.

Huwezi kupewa mafao hivyo ni viambatanisho vinavyotakiwa
1.Termination letter
2.kiapo cha kukosa ajira
3.Certified Copy of Nida
4.Bank statement iliyokua inapitisha mshahara.
Mpaka hapa nisha fail sina namna
 
Kwaiyo mkuu nikienda mahakamani nikipata hiko kiapo nikipeleka NSSF nitaweza kufatilia mafao? Bila kuwa na termination letter?? Na gharama za hiyo form ya kiapo ni shngp mkuu?
Kumbuka kuna fomu ya Nssf inatakiwa kujazwa na mhasibu au HR wa kampuni uliyokuwa unafanyakazi.
 
Kumbuka kuna fomu ya Nssf inatakiwa kujazwa na mhasibu au HR wa kampuni uliyokuwa unafanyakazi.
Naona nimesha fail ngoja nitafute mishe ya kufanya ,kila kitu kinatokea kwaajili ya sababu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…