Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,069
- 4,294
Msikilize huyu......hata mkuuu wa mkoa atakusaidiaMtafute mbunge wako anaweza kuwa msaada maana kwa sasa bado wa-moto. Bado wanaaminiki CRDB na NMB.
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Bro unamaanisha mfano mimi ada yangu kwa mwaka ni milioni moja so natakiwa kulipa 125000 cos semister zko nne so 1000000/4= na 250000 iko hiviUnasoma kozi gani hiyo mnalipa 7m. By the way, ninavyojua ni kwamba unatakiwa ulipe nusu ya ada ya semester ya kwanza , siyo nusu ya ada ya mwaka mzima.
Afanye Haraka SanaIngia Twitter mkuu post hii thread huwezi amini kitakachotokea. Nimeona wengi sana wamesaidiwa
Mkuu umetoa wazo la maana SanaMtafute mbunge wako anaweza kuwa msaada maana kwa sasa bado wa-moto. Bado wanaaminiki CRDB na NMB.
Ngoja nifanyie kazi hii wazoIngia Twitter mkuu post hii thread huwezi amini kitakachotokea. Nimeona wengi sana wamesaidiwa
Hakuna chuo chenye semester 4 katika mwaka mmoja bongo .Bro unamaanisha mfano mimi ada yangu kwa mwaka ni milioni moja so natakiwa kulipa 125000 cos semister zko nne so 1000000/4= na 250000 iko hivi
Nusu ada ni laki tano plus indirect cost and hostel fees mkuuuMkwawa nusu ada ni 7,000,000/= au macho yangu mabovu?
So kweli mkuu na hakuna siasa hapoAcha siasa kijana ata ukilipa laki 3 wana kusajiri vzuri tu