Habari za humu wakuu!
Naomba kufunzwa namna haya mafile yanavyo funguliwa mpaka kuwa website kabisa, maana nime furukuta nimeshindwa, naomba step by step nielekezwe aise.
File lenyewe kama hili hapa Drcare.zip
Asantaneni sana
Habari za humu wakuu!
Naomba kufunzwa namna haya mafile yanavyo funguliwa mpaka kuwa website kabisa, maana nime furukuta nimeshindwa, naomba step by step nielekezwe aise.
File lenyewe kama hili hapa Drcare.zip
Asantaneni sana
1. Unanunua hosting
2. Unanunua jina
3. Unainstall hio wordpress, mara nyingi process inakuwa auto kila kitu kinajifanya chenyewe (tegemea na hosting provider)
4. Unainstall hio template yako.
1. Unanunua hosting
2. Unanunua jina
3. Unainstall hio wordpress, mara nyingi process inakuwa auto kila kitu kinajifanya chenyewe (tegemea na hosting provider)
4. Unainstall hio template yako.