Msaada wako: Dating life!

Sawa.. Ila hako ka hint ka fake no hukuwapa.. Watu wengine ni ma psycho
We nawe marafkizangu wanajua namba yangu ya simu so hawakushangaa

Hapo nimepata tu hilo la kupangilia rangi ya chupi na siku!!!
Ahahahaha nimecheka mwenyewe ofisini kweli english noma

Read maana yake kusoma au ulimaanisha nnnn?
Ahahahahaha leo nimecheka watu na english vepee?!

Huyu jamaa kasema nikivaa ya pink nimfate pm,ndo nikampa jibu hilo


Mwingine kaniuliza kwani malaya sio mwanamke,ndio nikamjibu hivyo
Ok

Meona ee, watu wengine wagumu kuelewa, may be wana slow mind
Mtu kama wewe ushanielewa sana nilichotaka kuongea, thank you!

Ikifka zam ya read naomba nkutoe out
Ahahahaha RED ni ijumaaa na valentines day!
 
That's the best approach... ila inatakiwa kuweka your intentions clear.
 
Hahahahhha wewee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…