Kwa umri huo haishauriwi kabisa kumpa hivi vyakula maziwa ya mamaake yanatosha kabisaMtoto mdogo wa mwaka mmoja amekatazwa ana allergy sasa
Samaki
Maziwa ya unga na ng'ombe
Karanga
Dagaa
Soya maharagwe
Korosho
Vyakula vyenye rangirangi
Uji wa lishe
Sasa wakuu huyu anapewa vyakula gani? Apate protini
Kwa umri huo haishauriwi kabisa kumpa hivi vyakula maziwa ya mamaake yanatosha kabisaMtoto mdogo wa mwaka mmoja amekatazwa ana allergy sasa
Samaki
Maziwa ya unga na ng'ombe
Karanga
Dagaa
Soya maharagwe
Korosho
Vyakula vyenye rangirangi
Uji wa lishe
Sasa wakuu huyu anapewa vyakula gani? Apate protini
MkuuuKwa umri huo haishauriwi kabisa kumpa hivi vyakula maziwa ya mamaake yanatosha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka mmoja anyonye tu??Kwa umri huo haishauriwi kabisa kumpa hivi vyakula maziwa ya mamaake yanatosha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa umri huo haishauriwi kabisa kumpa hivi vyakula maziwa ya mamaake yanatosha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Je umemuona pediatrician (dkt wa watoto) ndo kakupa hayo maelekezo au umeenda hospital ya alergy wamempima tu?? Alikuwa na shida gani hadi wampime alergy?? Hii iliwahi kunitokea mtt mdg alikuwa anawashwa mwilini nilizunguka sana nikaenda hospital ya alergy wakampima wakasema anaalergy karibu kila kitu we hivyo vyako vichache alibaki kunywa supu tu ya kuku wa kienyeji. After 1 week ile hali haikuacha Nikarudi kwa pediatrician kiukweli nilivyomuelezea aliniuliza we mama ni mchawi??? Humpi mtoto hivyo vitu vyote atakuaje?? Aliniuliza maswali ambayo ntakuuliza na wewe ujiasessMtoto mdogo wa mwaka mmoja amekatazwa ana allergy sasa
Samaki
Maziwa ya unga na ng'ombe
Karanga
Dagaa
Soya maharagwe
Korosho
Vyakula vyenye rangirangi
Uji wa lishe
Sasa wakuu huyu anapewa vyakula gani? Apate protini