Msaada wachumi, how banks create money?

Foffana

JF-Expert Member
Oct 29, 2022
437
632
Habari wakuu, natumaini mnaendelea vizuri kabisa

Katika harakati za kuendelea kujifunza nimekutana na hii kitu ambayo inaitwa Credit Creation ambayo ndo inasemekana kuwa ndo njia ambayo hizi banks wanatumia kucreate money

Hii Concept imeniwia vigumu sana kuielewa kwani ina kamkanganyiko fulani. Ninaomba kwa anayeielewa vizuri hii Concept atueleweshe nina imani sio mimi tu pia itawasaidia wengine ambao hawakuwa wanaielewa.

Karibuni sana.
 
Jinsi ninavyo jua
Kuweka bure kutoa gharama
Mfano weka 10,000 toa 8000
2000 wamebak nayo

Charges and fees
Monthly fees
Statement fees
Balance fees
Card fees

LOAN INTEREST
KOPA
MILLION 10 LIPA 15
WAKAT HUO UMEKOPA ELA AMBAYO MWENZAKO AMEWEKA SAVING.
 
Jinsi ninavyo jua
Kuweka bure kutoa gharama
Mfano weka 10,000 toa 8000
2000 wamebak nayo

Charges and fees
Monthly fees
Statement fees
Balance fees
Card fees

LOAN INTEREST
KOPA
MILLION 10 LIPA 15
WAKAT HUO UMEKOPA ELA AMBAYO MWENZAKO AMEWEKA SAVING.
Shukrani mkuu...unaweza kuelezea pia process ya Credit Creation??
 
Habari wakuu, natumaini mnaendelea vizuri kabisa

Katika harakati za kuendelea kujifunza nimekutana na hii kitu ambayo inaitwa Credit Creation ambayo ndo inasemekana kuwa ndo njia ambayo hizi banks wanatumia kucreate money

Hii Concept imeniwia vigumu sana kuielewa kwani ina kamkanganyiko fulani. Ninaomba kwa anayeielewa vizuri hii Concept atueleweshe nina imani sio mimi tu pia itawasaidia wengine ambao hawakuwa wanaielewa.

Karibuni sana.
Kazi kubwa ya Bank nikuchukuwa Hela Kwa watu wasiokuwa. Na kazi nazo na kupeleka Kwa wenye kazi nazo.
Mfano watu mia Moja wanapeleka Bilioni kumi Bank na kuweka kwenye fixed deposit or saving a/c na kulipwa 3% Kwa mwaka kama faida.huku wakutozwa. Ledger fee, monthly fee, withdrawing fee, I treat gain tax and withholding tax.
Wao Bank wanachukuwa hiyo Bilioni kumi. Wanakopesha Kwa wafanyabiashara Kwa I interest rate ya kuanzia 16% Hadi 25% Kwa mwaka.
Huku waki charge mbalimbali Kwa huyo mkopaji.
Gharama za kumtembelea mteja.
Loan processing fee.
Loan maintananxe fee.
Insurance.
Withholding tax.
Loan monitoring fee kutembelewa Kila wakati
Ukiangalia hapo unakuta Ile billioni kumi. Imezaa billioni mbili nyingine. Ndani ya mwaka
 
Kazi kubwa ya Bank nikuchukuwa Hela Kwa watu wasiokuwa. Na kazi nazo na kupeleka Kwa wenye kazi nazo.
Mfano watu mia Moja wanapeleka Bilioni kumi Bank na kuweka kwenye fixed deposit or saving a/c na kulipwa 3% Kwa mwaka kama faida.huku wakutozwa. Ledger fee, monthly fee, withdrawing fee, I treat gain tax and withholding tax.
Wao Bank wanachukuwa hiyo Bilioni kumi. Wanakopesha Kwa wafanyabiashara Kwa I interest rate ya kuanzia 16% Hadi 25% Kwa mwaka.
Huku waki charge mbalimbali Kwa huyo mkopaji.
Gharama za kumtembelea mteja.
Loan processing fee.
Loan maintananxe fee.
Insurance.
Withholding tax.
Loan monitoring fee kutembelewa Kila wakati
Ukiangalia hapo unakuta Ile billioni kumi. Imezaa billioni mbili nyingine. Ndani ya mwaka
Ahsante mkuu nimekuelewa...unaweza ukaongelea pia process ya Credit Creation inavyokuwa?
 
Back
Top Bottom