Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

Mkuu, binafsi nataka kutinga kwenye hiki kilimo, japo sijapata taarifa zaidi kuhusu njombe. Nataka kulima Arusha, labda kama kuna wadau wanajua zaidi kuhusu hii mishe kwa pande za njombe tunaomba msaada watujuze tujifunze zaidi
Nombe ni kubwa naunataka kulima maeneo gani?
 
Kwa njombe maharage yanastawi zaidi wilaya ya ludewa maeneo ya mavanga,mundindi na amani huko ndio yanalimwa kwa wingi
 
1) Natumia 6ltr@acre
2) kawaida namwagilia mara 10 mpaka kuvuna maharage kulingana na hali ya hewa.(6ltr*10=2500*6*10=>150,000/-)
3) natumia mbolea ya CAN Kg50@are=>Tsh90000
4)Tsh200,000 kulima na kuchora muelekeo wa utiririkaji wa maji.
5)booster 2ltr@6000=>12,000
6)fungicide=>40,000
7)insecticide=>48,000
8)mbolea supergro tsh 250,000.
9)palizi nafanya mwenyewe
10) navuna na kupokea mkwanja nikiwa shamba. Siku hiyo lazima nichinje jogoo kwajili ya mteja!

Karibuni sana shamba.
Ukiamua kuchagua upande huu utakuwa njia sahihi.
Usimtegemee mwajiri wako maana anakutumia kwa ujira finyu na ukizeeka hatakuhitaji kamwe.
Janjaruka mwanangu usiwe poyoyo!!
Mkuu tupe maelekezo ya upatikaji wako tafadhari
 
Mimi nayalima ila nayalima kienyeji.
Gharama zake ni kama ifuatavyo

Kugeuza eka moja no 30,000

Kuotesha eka moja in 30,000

Kupalilia eka moja 30,000

Kila eka moja debe moja LA kg 20 linatosha

Kungoa maharage eka moja ni 10,000

Kupiga maharage ni 5000 KWA gunia, ambapo mara nyingi navuna gunia tatu(gunia LA 120 kg) hivyo kupiga 15,000 KWA eka

Mbegu nzuri ni ile ya gololi mana kuna njano ndefu na njano gololi

Kusafirisha kutoka shambani mpaka store kwangu ni 5000 KWA gunia

Soko langu mi huwa nauzia mashule KWA kg 2,500au2600 KWA kutumia kampuni yangu, ( nilisajili purposely KWA kuwa madalali wanaonea sana)

Shamba huwa sikodishi, naombaga tu MTU mmmoja Mmoja mpaka nafikisha ekari kumi ama kumi na tano tu, watu Wa huku hawakodishi mashamba, ila ukitaka unanunua sukari na blanket unaenda kuomba Shamba, ukiahapata hapo utalima mpaka atakapokuambia sasa nataka Shamba langu. (Advantage ya kuajiriwa kijijini)

Kuotesha ni kuanzi mwezi Wa tatu tarehe moja hadi tarehe 15, na ukichelewa sana basi ivuke tare 05/4 hujaweka mbegu chini

Maharage ya njano hayahitaji mvua nyingi sana na yanawahi kustawi haraka mno,

Ni matamu sana yakiwa mabichi, matamu mnooo, yaani matamu haswaaa sema ushuzi wake sio Wa nchi hii.

Nimeshaanda mashamba nasubiria march niweke mbegu chini.

Mi huwa nachanganya na mahindi pia shambani. Sipigi dawa yoyote ile

Nafanyia mkoa Wa Arusha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi naomba kwa mtu yoyote aliyewahi kufanya mawasiliano na kisima said tafadhari anisaidie namba za simu anitumie inbox, natanguliza shukrani
 
mnaendeleaje na kilimo cha MAHARAGE huko?? nimeotesha na palizi ya kwanza tayari
IMG_20200329_184355.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu. Nakuja pm nahitaji unisaidie kitu..nahitaji kulima pia arusha
Mimi nayalima ila nayalima kienyeji.
Gharama zake ni kama ifuatavyo

Kugeuza eka moja no 30,000

Kuotesha eka moja in 30,000

Kupalilia eka moja 30,000

Kila eka moja debe moja LA kg 20 linatosha

Kungoa maharage eka moja ni 10,000

Kupiga maharage ni 5000 KWA gunia, ambapo mara nyingi navuna gunia tatu(gunia LA 120 kg) hivyo kupiga 15,000 KWA eka

Mbegu nzuri ni ile ya gololi mana kuna njano ndefu na njano gololi

Kusafirisha kutoka shambani mpaka store kwangu ni 5000 KWA gunia

Soko langu mi huwa nauzia mashule KWA kg 2,500au2600 KWA kutumia kampuni yangu, ( nilisajili purposely KWA kuwa madalali wanaonea sana)

Shamba huwa sikodishi, naombaga tu MTU mmmoja Mmoja mpaka nafikisha ekari kumi ama kumi na tano tu, watu Wa huku hawakodishi mashamba, ila ukitaka unanunua sukari na blanket unaenda kuomba Shamba, ukiahapata hapo utalima mpaka atakapokuambia sasa nataka Shamba langu. (Advantage ya kuajiriwa kijijini)

Kuotesha ni kuanzi mwezi Wa tatu tarehe moja hadi tarehe 15, na ukichelewa sana basi ivuke tare 05/4 hujaweka mbegu chini

Maharage ya njano hayahitaji mvua nyingi sana na yanawahi kustawi haraka mno,

Ni matamu sana yakiwa mabichi, matamu mnooo, yaani matamu haswaaa sema ushuzi wake sio Wa nchi hii.

Nimeshaanda mashamba nasubiria march niweke mbegu chini.

Mi huwa nachanganya na mahindi pia shambani. Sipigi dawa yoyote ile

Nafanyia mkoa Wa Arusha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nayalima ila nayalima kienyeji.
Gharama zake ni kama ifuatavyo

Kugeuza eka moja no 30,000

Kuotesha eka moja in 30,000

Kupalilia eka moja 30,000

Kila eka moja debe moja LA kg 20 linatosha

Kungoa maharage eka moja ni 10,000

Kupiga maharage ni 5000 KWA gunia, ambapo mara nyingi navuna gunia tatu(gunia LA 120 kg) hivyo kupiga 15,000 KWA eka

Mbegu nzuri ni ile ya gololi mana kuna njano ndefu na njano gololi

Kusafirisha kutoka shambani mpaka store kwangu ni 5000 KWA gunia

Soko langu mi huwa nauzia mashule KWA kg 2,500au2600 KWA kutumia kampuni yangu, ( nilisajili purposely KWA kuwa madalali wanaonea sana)

Shamba huwa sikodishi, naombaga tu MTU mmmoja Mmoja mpaka nafikisha ekari kumi ama kumi na tano tu, watu Wa huku hawakodishi mashamba, ila ukitaka unanunua sukari na blanket unaenda kuomba Shamba, ukiahapata hapo utalima mpaka atakapokuambia sasa nataka Shamba langu. (Advantage ya kuajiriwa kijijini)

Kuotesha ni kuanzi mwezi Wa tatu tarehe moja hadi tarehe 15, na ukichelewa sana basi ivuke tare 05/4 hujaweka mbegu chini

Maharage ya njano hayahitaji mvua nyingi sana na yanawahi kustawi haraka mno,

Ni matamu sana yakiwa mabichi, matamu mnooo, yaani matamu haswaaa sema ushuzi wake sio Wa nchi hii.

Nimeshaanda mashamba nasubiria march niweke mbegu chini.

Mi huwa nachanganya na mahindi pia shambani. Sipigi dawa yoyote ile

Nafanyia mkoa Wa Arusha.


Sent using Jamii Forums mobile app
UNALIMIAA ARUSHA SEHEM NIJE NIJIFUNZE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wa JF!
Naombeni ushauri au uzoefu wenu kuhusu madawa yanayoweza kutumika kufanya palizi kwenye shamba la ufuta.
Nafahamu yapo madawa ya kufanya palizi kwenye mpunga na hata mahindi na kwa kiasi kikubwa yanasaidia kupunguza gharama za kilimo kwa wanaolima mashamba makubwa.

Nimejaribu kutafuta madawa ya palizi ya ufuta lakini bado sijafanikiwa. Naomba ambaye anafahamu hayo madawa kama yapo anielekeze tafadhali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom