Habari ,ninaomba msaada nina tatizo katika simu yangu aina ya tecno spark 4, tatizo lenyewe ni kwamba nikipigiwa au kupiga nikishapokea au niliempgia akishapokea basi screen ya simu inajizima.
Kwahiyo hapo nakua siwezi kukata hadi nimwambie ninaeongea nae kata maana mimi siwezi kukata pale katika screen kunakua giza hadi simu ikate ndio na mwanga unarudi, mwenye kujua tatizo anisaidie.
Kwahiyo hapo nakua siwezi kukata hadi nimwambie ninaeongea nae kata maana mimi siwezi kukata pale katika screen kunakua giza hadi simu ikate ndio na mwanga unarudi, mwenye kujua tatizo anisaidie.