Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,458
- 29,151
habari wa jf naomba mnisaidie kwa hili maana nimejaribu kila namna lakn naona kila mmoja analiogopa, nimeweka hela zangu benki fulani kwa minajili kwamba nikizitaka nakwenda kwenye ATM's zao nakamata mshiko wangu na ndio najua ndo makubaliano yetu kwa masaa 24 ili mradi tu hela iwemo kwenye akaunt yangu, lakn cha kushangaza ni kwamba nakuta hzo mashine zao za ATM's hazifanyi kazi huku si kwenda kinyume na makubaliano hvyo inawabidi ni wa-sue mahakamani au hapo inakuaje?
jingine ni hawa maadui wetu wa umeme Tanesco walitoa ratiba ya mgao wao wa umeme lakn kila nikijaribu kufanya mambo yangu according to their mgao wanakata muda ambao hatukukubaliana sasa hapo vp siwezi pata msaada ili iwe fundisho kwa wengine wanaofikiri nchi hii haina mwenyewe??? plz huu ni msaana ilituweze komesha hii tabia
jingine ni hawa maadui wetu wa umeme Tanesco walitoa ratiba ya mgao wao wa umeme lakn kila nikijaribu kufanya mambo yangu according to their mgao wanakata muda ambao hatukukubaliana sasa hapo vp siwezi pata msaada ili iwe fundisho kwa wengine wanaofikiri nchi hii haina mwenyewe??? plz huu ni msaana ilituweze komesha hii tabia