Msaada wa sheria za kazi

MAN OF PEACE

Senior Member
Jul 12, 2014
193
189
Heshima kwenu wa kuu,

Naomba ushauri juu ya sheria za kazi.

Nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni binafsi mkataba wangu uliisha tarehe 30/04/2018, nimefanya kazi mwezi wa tano mzima na mshahara wamenilipa kama kawaida lakini jana tarehe 08/06/2018 wakasema hawawezi kuendelea na mimi tena bila sababu za msingi.

So kisheria hii imekaaje haki zangu nazipataje?
 
Heshima kwenu wa kuu,

Naomba ushauri juu ya sheria za kazi.

Nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni binafsi mkataba wangu uliisha tarehe 30/04/2018, nimefanya kazi mwezi wa tano mzima na mshahara wamenilipa kama kawaida lakini jana tarehe 08/06/2018 wakasema hawawezi kuendelea na mimi tena bila sababu za msingi.

So kisheria hii imekaaje haki zangu nazipataje?
Kisheria mkataba umeji renew upya
 
Ulipofanya kazi mwezi wa 5 mulikubaliana VIP? Yaan malipo?
Umesema mwezi wa 5 ulilipwa je baada ya mkataba kuisha mwezi wa 4, kuna maongezi mengine? Je ni Yap?
 
Ulipofanya kazi mwezi wa 5 mulikubaliana VIP? Yaan malipo?
Umesema mwezi wa 5 ulilipwa je baada ya mkataba kuisha mwezi wa 4, kuna maongezi mengine? Je ni Yap?
...chukulia kulikuwa hakuna maongezi yoyote tangu mkataba kuisha mwezi wa 4,..kwa maana hiyo alifanya kazi mwezi wa 5 bila maongezi wa mkataba ,..je-jicho la kisheria linasemaje kuhusu hapo.
...hebu mwanasheria tupe mtazamo mkuu
 
Hapo
1. Mwajiri kavunja mkataba na wewe meanin that anatakiwa akupe haki zako zote za msingi
2.Japo inaonekana ni kuvunja mkataba lakin naiona kama ni "redundancy" type na HR alitakiwa akuite akwambie na pia akupe maelezo sio wanafanya mambo kienyeji enyeji
3.Kama utakwama please nipm nitakudirect kwa jamaa yangu mmoja lawyer ili akupe mchanganuo zaidi

Nawasilisha
 
Hapo
1. Mwajiri kavunja mkataba na wewe meanin that anatakiwa akupe haki zako zote za msingi
2.Japo inaonekana ni kuvunja mkataba lakin naiona kama ni "redundancy" type na HR alitakiwa akuite akwambie na pia akupe maelezo sio wanafanya mambo kienyeji enyeji
3.Kama utakwama please nipm nitakudirect kwa jamaa yangu mmoja lawyer ili akupe mchanganuo zaidi

Nawasilisha
...good umeeleza vema mkuu
 
...good umeeleza vema mkuu
Hawa waajiri wanapenda sana kufanya mambo ya kihuni huni kama vile sheria hakuna kama wanakuondoa kazini lazima wakupe sababu ya msingi na ukubaliane nayo sio uhuni wanaoufanya.
 
Mkuu naomba upitie hivyo vipengele vya kisheria kama utakuwa na maswali tutaelimishana
 

Attachments

  • KUACHISHA KAZI.docx
    15.1 KB · Views: 89
Nilikuwa nafanya kazi kwenye kampuni binafsi mkataba wangu uliisha tarehe 30/04/2018, nimefanya kazi mwezi wa tano mzima na mshahara wamenilipa kama kawaida lakini jana tarehe 08/06/2018 wakasema hawawezi kuendelea na mimi tena
mkataba wako uliisha tangu 30/4/18 hivyo basi ulipaswa kufanya maongezi ya mkataba mpya kabla ya kuendelea na kazi. Umeenda kwa HR kuulizia kuhusu mustakabali wako kazini mkuu?
 
mkataba wako uliisha tangu 30/4/18 hivyo basi ulipaswa kufanya maongezi ya mkataba mpya kabla ya kuendelea na kazi. Umeenda kwa HR kuulizia kuhusu mustakabali wako kazini mkuu?
Sikuongea na HR coz mkataba ukiisha kama hawana mpango wa kuendelea na wewe wanakupa taarifa, so mi sikuwa na wasiwasi wowote kwakujua watanipa mkataba mwingine
 
Ulipofanya kazi mwezi wa 5 mulikubaliana VIP? Yaan malipo?
Umesema mwezi wa 5 ulilipwa je baada ya mkataba kuisha mwezi wa 4, kuna maongezi mengine? Je ni Yap?
Sikuwa na shaka ndo mana sikuongea na HR coz wao ndo wangeniambia kama hawana mpango wa kuendelea na mm!!
 
Hapo
1. Mwajiri kavunja mkataba na wewe meanin that anatakiwa akupe haki zako zote za msingi
2.Japo inaonekana ni kuvunja mkataba lakin naiona kama ni "redundancy" type na HR alitakiwa akuite akwambie na pia akupe maelezo sio wanafanya mambo kienyeji enyeji
3.Kama utakwama please nipm nitakudirect kwa jamaa yangu mmoja lawyer ili akupe mchanganuo zaidi

Nawasilisha
Ntaku pm kiongozi coz kuna vitu na hitaki kuvijua kiundani sana
 
IGWE angalia nimetuma tena
 

Attachments

  • KUACHISHA KAZII.docx
    3.9 KB · Views: 31
  • MAMBO YA MSINGI YA KUFANYA PINDI UNAPOACHISHWA KAZII.docx
    4.6 KB · Views: 84
Back
Top Bottom