Msaada wa pastpaper'A"level

Msaada wa pastpaper'A"level

mussavin1

Member
Joined
May 13, 2017
Posts
12
Reaction score
1
Naomba mnisaidie kupata past paper ,hata km itakua na gharama nazihitaji sana ndugu zangu..hist,geo,eng,math,gs,econom,,1&2
 
Watu mnasoma kwa raha sana,
Kipindi kile wenzako tupo advance simu unawasha mara moja kwa miezi kadhaa ,
Akili inawaza misuli tuu, fruuuu madensa na vitabu, kipindi hicho hata habari za soft copy hatukuwahi kujua kama kuna softcopy ..

Dah miaka hii mkuu form six unataka soft copy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu mnasoma kwa raha sana,
Kipindi kile wenzako tupo advance simu unawasha mara moja kwa miezi kadhaa ,
Akili inawaza misuli tuu, fruuuu madensa na vitabu, kipindi hicho hata habari za soft copy hatukuwahi kujua kama kuna softcopy ..

Dah miaka hii mkuu form six unataka soft copy

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye amependa hard copy
 
Naomba mnisaidie kupata past paper ,hata km itakua na gharama nazihitaji sana ndugu zangu..hist,geo,eng,math,gs,econom,,1&2
Zipo pastpapers nyingi kwenye tHL app.
Jinsi ya ku-install tHL app
---------------------------
1.Kwa simu Online version Nenda play store/window store SERACH tHL kisha install. 2. OFFLINE version (for Secondary Schools) Nenda www.thlappstore.co.tz kisha download. Kwenye hiyo site video ya installation ipo hapo (Fuata hiyo video STEP BY STEP). 3. Kwa computer download hapa tHL app ina Scholarships, Notes form I - VI na Ukurasa wa Jamii wenye makala zinazoeleza namna ya kuachana na Msongo wa mawazo na maelezo ya kuinstall kwenye computer haya hapa instructions .

Maelekezo zaidi
---------------
Contacts Office: 0767 663 951, 0674 338 033, 0785 909 038 - Upewe maelekezo.
 
Back
Top Bottom