Msaada wa nyumba ya kupanga maeneo ya Uyole

Msaada wa nyumba ya kupanga maeneo ya Uyole

Darren2019

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
1,111
Reaction score
2,411
Msaada wakuu, kuna mtanzania anahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Uyole.
Tupe sifa ya nyumba na bei tafadhali tutakufuata inbox🙏🙏
 
Kama mnahitaji nyumba nzuri nendeni kwenye vijiwe vya madalali stand ya usangu au kingani kuna dalali mmoja hivi maarufu sana pale jina limenitoka, nina hakika by saa 8 tu tayari mtakuwa mnahamia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom