Msaada wa money transfer kutoka UK

Msaada wa money transfer kutoka UK

Asante mkuu ..kwenye kutoa haisumbua au kuna kuwa na taratibu za kuitoa endapo huyo mtu atanitumia?
Mkuu Wordremit iko good sana u will receive your money within a fraction of second Mimi nina Experience nayo, Wave pia iko good kama mtu yuko US
Hela itaingia normal kabisa na you can withdraw it from any Agent, Wave ni mpesa tu na Wordremit ni mitandao almost yote
 
Mkuu Wordremit iko good sana u will receive your money within a fraction of second Mimi nina Experience nayo, Wave pia iko good kama mtu yuko US
Hela itaingia normal kabisa na you can withdraw it from any Agent, Wave ni mpesa tu na Wordremit ni mitandao almost yote
Asante sana maana nimeshtushwa na zile transaction number kuwa zaidi ya nane(8) ndio maana nikauliza ivyo
 
Nadhanu mwenzangu umeitumia hii service me naipenda na naitumia muda wote na kila siku na sijawahi kupoteza hela hata siku moja
Kwahiyo mazee iyo kitu lazima uwe UK, ao US?? mtu akiwa Africa kumtumia mwengine wa Africa haiwezekani. Na vipi kwa pesa nyingi kidogo inafika?? Kama 5000$
 
hii gitu mura nilikuwa siijui ngocha niijaribu hii wave, kweli jf ni kisima cha maarifa
 
Back
Top Bottom