Msaada wa money transfer kutoka UK

Msaada wa money transfer kutoka UK

Joined
Oct 14, 2016
Posts
9
Reaction score
2
Assalaam alleikhu ndugu zangu..Matumaini mtakuwa hamjambo na wazima wa afya, nahitaji kujuzwa kuhusiana na International Money Transfer ipi inatakiwa niweze kupokea hela kutoka M-pesa au tigopesa?

Je, mtu anaweza akanitumia hela moja kwa moja kutoka U.K(GBP) moja kwa moja kwenye akaunti yangu ikaingia ua kuna namna ambayo mnaifahamu nikapata kwa urahisi? Money Gram au Western Union?

Msaada wenu
 
Assalaam alleikhu ndugu zangu..Matumaini mtakuwa hamjambo na wazima wa afya, nahitaji kujuzwa kuhusiana na International Money Transfer ipi inatakiwa niweze kupokea hela kutoka M-pesa au tigopesa?

Je, mtu anaweza akanitumia hela moja kwa moja kutoka U.K(GBP) moja kwa moja kwenye akaunti yangu ikaingia ua kuna namna ambayo mnaifahamu nikapata kwa urahisi? Money Gram au Western Union?

Msaada wenu

Ni kitu rahisi tu wasiliana na huyo mtu ambaye yupo UK mwambie aende kwenye playstore adownload application inaitwa wave then aweke bank details zake na asave number yako ya voda kwenye simu then akutumie hela hizo hela zitaingia ndani ya dakika 1 kwenye account yako ya M pesaa hiyo ni kwa m pesa tu
 
Huko wave si ndo mwanzo wa kupigwa hela online kama mtu asipokuwa makini? Maana wezi wa mtandaoni kila kukicha wanafuatilia njia rahisi za kupata details za accounts za watu za bank ili wadukue. Binafsi najua western union ndo nimeizoea. Natuma, mpokeaji anaipata kwenye simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie akutumie kwa njia ya world remit pesa inaingia kwenye akainti yako simu
 
Huko wave si ndo mwanzo wa kupigwa hela online kama mtu asipokuwa makini? Maana wezi wa mtandaoni kila kukicha wanafuatilia njia rahisi za kupata details za accounts za watu za bank ili wadukue. Binafsi najua western union ndo nimeizoea. Natuma, mpokeaji anaipata kwenye simu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukiibiwa huko wave nitafute muda wote hapa jukwaani kila mtu shahidi nitakulipa hela zako nina zaidi ya miaka 3 naitumia ni watu waaminifu sanaa....na uzuri wake nu kama western union sema rates zao nzuri sana na hulipi service charger kama western union ni bure kabisaaa
 
Huko wave si ndo mwanzo wa kupigwa hela online kama mtu asipokuwa makini? Maana wezi wa mtandaoni kila kukicha wanafuatilia njia rahisi za kupata details za accounts za watu za bank ili wadukue. Binafsi najua western union ndo nimeizoea. Natuma, mpokeaji anaipata kwenye simu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kupotosha mkuu,wave sio wezi ni rahisi na faster!!
 
Mwambie akutumie kwa njia ya world remit pesa inaingia kwenye akainti yako simu

Nimewatumia hawa jamaa raha yake hawaa utume hela kuja mtandao wa tigo zinaingia ndani ya dakika ila ukituma kwa mtandao m pesa zitachukua hata siku 3 kama mimi muongo mkuu semaa plus hawa woldremit wana service charger na rates yao ni ndogo sana compare na hawa wave vile vile vile wave hawana service charger na rates yao ipo high compare to western union or world remit
 
Acha kupotosha mkuu,wave sio wezi ni rahisi na faster!!

Nadhanu mwenzangu umeitumia hii service me naipenda na naitumia muda wote na kila siku na sijawahi kupoteza hela hata siku moja
 
Nimewatumia hawa jamaa raha yake hawaa utume hela kuja mtandao wa tigo zinaingia ndani ya dakika ila ukituma kwa mtandao m pesa zitachukua hata siku 3 kama mimi muongo mkuu semaa plus hawa woldremit wana service charger na rates yao ni ndogo sana compare na hawa wave vile vile vile wave hawana service charger na rates yao ipo high compare to western union or world remit
Umegonga mule mule mkuu!!
 
Nimewatumia hawa jamaa raha yake hawaa utume hela kuja mtandao wa tigo zinaingia ndani ya dakika ila ukituma kwa mtandao m pesa zitachukua hata siku 3 kama mimi muongo mkuu semaa plus hawa woldremit wana service charger na rates yao ni ndogo sana compare na hawa wave vile vile vile wave hawana service charger na rates yao ipo high compare to western union or world remit
Kuhusu mpesa sijui ila tigo pesa fasta tu
 
Umegonga mule mule mkuu!!

Mkuu me najaribu kuwasaidia na wengine kama kuna mahali nimeongea uwongo nitafurahi kurekebishwa ni vizuri zaidi....ila hiyo kwa mimi ndio naona njia rahisi kutuma hela kutoka nje.....
 
Mkuu me najaribu kuwasaidia na wengine kama kuna mahali nimeongea uwongo nitafurahi kurekebishwa ni vizuri zaidi....ila hiyo kwa mimi ndio naona njia rahisi kutuma hela kutoka nje.....
Wala hujakosea mkuu!!
 
Vi
Ni kitu rahisi tu wasiliana na huyo mtu ambaye yupo UK mwambie aende kwenye playstore adownload application inaitwa wave then aweke bank details zake na asave number yako ya voda kwenye simu then akutumie hela hizo hela zitaingia ndani ya dakika 1 kwenye account yako ya M pesaa hiyo ni kwa m pesa tu
vipi mkuu hata kinyume chake inawezekana from tanzania to uk?
 
Back
Top Bottom