Ostadh Nurdini
Member
- Oct 14, 2016
- 9
- 2
Assalaam alleikhu ndugu zangu..Matumaini mtakuwa hamjambo na wazima wa afya, nahitaji kujuzwa kuhusiana na International Money Transfer ipi inatakiwa niweze kupokea hela kutoka M-pesa au tigopesa?
Je, mtu anaweza akanitumia hela moja kwa moja kutoka U.K(GBP) moja kwa moja kwenye akaunti yangu ikaingia ua kuna namna ambayo mnaifahamu nikapata kwa urahisi? Money Gram au Western Union?
Msaada wenu
Je, mtu anaweza akanitumia hela moja kwa moja kutoka U.K(GBP) moja kwa moja kwenye akaunti yangu ikaingia ua kuna namna ambayo mnaifahamu nikapata kwa urahisi? Money Gram au Western Union?
Msaada wenu