Toofast
JF-Expert Member
- Dec 23, 2015
- 546
- 1,003
Habari zenu,naomba niende moja kwa moja kwenye mada, siku tano zilizopita nilinunua smart TV Aina ya HOMEBASE inchi 43 Kama ilivyokawaida smart TV nyingi Zina receiver.
Sasa shida yangu ni kwamba ukisearch stesheni kupitia Hy receiver Kuna option nyingi kama ya location uliyopo mf tz na Kama unatumia antenna,cable au satellite
Kiukweli kwa kuwa ninayo antenna niliconnect wire wa antenna kwenye tv na nikasachi stesheni na nikafanikiwa kupata stesheni baadhi nyingi ni za tz mf eatv,itv,tv1,uhai tvn.k
Sasa hamu yangu kubwa nikujua je naweza kutumia dish ,maana madish kuconnect na tv yanatumia lnb na kwenye tv hamna ,pale Kuna RF(S2) na je hii RF(S2) ni nini
MSAADA jamani kwa mwenye uelewa
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa shida yangu ni kwamba ukisearch stesheni kupitia Hy receiver Kuna option nyingi kama ya location uliyopo mf tz na Kama unatumia antenna,cable au satellite
Kiukweli kwa kuwa ninayo antenna niliconnect wire wa antenna kwenye tv na nikasachi stesheni na nikafanikiwa kupata stesheni baadhi nyingi ni za tz mf eatv,itv,tv1,uhai tvn.k
Sasa hamu yangu kubwa nikujua je naweza kutumia dish ,maana madish kuconnect na tv yanatumia lnb na kwenye tv hamna ,pale Kuna RF(S2) na je hii RF(S2) ni nini
MSAADA jamani kwa mwenye uelewa
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app