lemone grass
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 289
- 335
Habari za mapumziko ya mwisho wa wiki!!!
wadau wa electronics, nina hi-fi model 087 memory ic imekufa kabisa, T/24C02A. kwa mazingira niliyopo nimepata 24C02, kama ntatumia hiyo kama mbadala itafanya kazi kama kawaida? au nitafute original chip?
shukrani...
wadau wa electronics, nina hi-fi model 087 memory ic imekufa kabisa, T/24C02A. kwa mazingira niliyopo nimepata 24C02, kama ntatumia hiyo kama mbadala itafanya kazi kama kawaida? au nitafute original chip?
shukrani...