mi ni mwanaume mwenye miaka 28.nimeoa mwaka jana na ni kwa shinikizo la wazazi wake hyo ni baada ya kumpa mimba..so nikawa cna jins ckumpenda kivile coz yeye ni black sasa tatizo langu napenda white...na mzigo nyuma...nipo kwenye ndoa lakn kila nikimwona ke white..namtaman....sasa nifantaje cmtaki na tulifunga ndoa ya kikristo