Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,840
Nilikuwa nasoma na kusikia ishu za kina Vicky Kamata lakini leo limefika mikononi...
Mdogo wangu alitaraji kufunga ndoa hivi soon shughuli zoote mnazozijua za maandalizi zilifika ukingoni...
Siku nne zilizopita nilipata simu ya Mume mtarajiwa akiniambia alikuta mesej ya mdogo wangu akitumiwa na daktari aliyemtibu kipindi flani akiwa anaumwa...ikisema " swit mbona umekiwa kimya mda mrefu"
mume akuuliza mke mtaraji kulikoni bibie akachomoa...
mume akaelewa...sasa gafla yule mume kaibuka kusitisha ndoa kwa madai tu hataki kuolea watu...
Ndugu wa familia tumejaribu kuongea na binti amtake radhi mwenzie binti nae kaibuka hataki kosa wanaume anajidai mkoloni..
Vichwa vinasugua na nywele kunyonyoka hatujui hata lakufanya garama zilizotumika kuandaa..michango ya watu yaaaani.....hoooooiiii
nisaidieni mawazo kunusuru hili balaaa...ndoa imebakiza siku chache tu ...
Mdogo wangu alitaraji kufunga ndoa hivi soon shughuli zoote mnazozijua za maandalizi zilifika ukingoni...
Siku nne zilizopita nilipata simu ya Mume mtarajiwa akiniambia alikuta mesej ya mdogo wangu akitumiwa na daktari aliyemtibu kipindi flani akiwa anaumwa...ikisema " swit mbona umekiwa kimya mda mrefu"
mume akuuliza mke mtaraji kulikoni bibie akachomoa...
mume akaelewa...sasa gafla yule mume kaibuka kusitisha ndoa kwa madai tu hataki kuolea watu...
Ndugu wa familia tumejaribu kuongea na binti amtake radhi mwenzie binti nae kaibuka hataki kosa wanaume anajidai mkoloni..
Vichwa vinasugua na nywele kunyonyoka hatujui hata lakufanya garama zilizotumika kuandaa..michango ya watu yaaaani.....hoooooiiii
nisaidieni mawazo kunusuru hili balaaa...ndoa imebakiza siku chache tu ...