allydasmartboy
Member
- Jul 14, 2018
- 36
- 7
Me n mwanafunzi nimemaliza PCB mwaka nina 2 ya 12 ila nina CC na S ya phy sasa hawamu ya kwanza niliomba SUA UDSM na UDOM ila nimekosa ingawa nimeapply tena ila mama kankambia nitafute plan B yaani nifanye shukhuri yy ataniwezesha kamtaji sasa ahida yangu kubwa ni USHAURI kama wa chuo au hata wa shukhuri yaani na jianda na plan B kabla hata matokeo ya chuo haja toka coz hawamu ya pili siyo ya kutegemea sana hvyo na waomba USHAURI sijui mna nishauli nn ndugu zanguu?????