hbu weka wazi upo ud o udom?<br />
<br />
me nko ud ila huyo dogo ndo amepata hyo coz hapo IAA.
mkuu ka sikosei juzi tu umesema upo udom kwenye sup............na siredi yako uliandika headin ya SUP,haya kwakua umesema mwenyewe basi sawa<br /><br />
<br /><br />
ha!ha!ha!mkuu,me Udom ni big NO!!!me ni kijana wa pale Hill.
<br /><font size="3">mkuu ka sikosei juzi tu umesema upo udom kwenye sup............na siredi yako uliandika headin ya SUP,haya kwakua umesema mwenyewe basi sawa</font>
<br /><br /><br />
<br /><br />
nadhan utakua umenifanansha mkuu,cjawah fika hata huo mkoa wa dodoma.
<br />Nataka umpokee chaliangu anakuja Ud.<br />
Afu kapewa mzigo wa ukweli, koz yake inausu cultr n traditn ivi<br />
<br /><br />
<br />
Waungwana,my young sister kachaguliwa coz inaitwa bachelor in economics and finance kwenye chuo IAA,nimejaribu kuulzia kwa wa2 wanasema hyo coz hapa tanzania ni mpya.kuna yeyote anae weza niambia juu ya soko lake la ajira au nimshauri akaibadilishe?