Nimemaliza kidato cha sita PCM mwaka 2014 matokeo ni DDE.
Sio kesi xana nime aply TCU coz za education kwenye vyuo vitano vikiwemo vya private viwili.
Shida ni kwamba ata nikipata chuo nikapiga hyo education, kwa hayo matokeo nitapata ajira??
Au niachane na bachelor nikapige diploma ya education maana niliomba special program ya education UDOM na uwakika wa kupata ni mkubwa japo selection hazjatoka
SITAKI DHARAU KWENYE COMET, KAMA HUNA CHAKUNISHAURI KAA KIMYA.
Welcome
Sio kesi xana nime aply TCU coz za education kwenye vyuo vitano vikiwemo vya private viwili.
Shida ni kwamba ata nikipata chuo nikapiga hyo education, kwa hayo matokeo nitapata ajira??
Au niachane na bachelor nikapige diploma ya education maana niliomba special program ya education UDOM na uwakika wa kupata ni mkubwa japo selection hazjatoka
SITAKI DHARAU KWENYE COMET, KAMA HUNA CHAKUNISHAURI KAA KIMYA.
Welcome