Napenda kukushauri kwamba unabidi ubadili (update) kwenye hiyo tovuti ya BongoGram baadhi ya maneno kwenye category ya features create Plofile na iwe create profile , Upload photo and shere with people on your area. na iwe Upload photo and share with people on your area.Habari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4 na kuendelea.. kwa sasa ni final version kwa upande wangu. Ila nitapenda mawazo zaidi kutoka kwenu.
Kwa sasa inavyoonekana kwenye screenshot.
Tafuta Bongogram kwenye playstore au felijose systems utapata Bongogram kwenye list..
Au tembelea website ya BongoGram
Shukrani..
link ya kuweza kuidownload na kusoma descriptions ni...
Bongogram - Android Apps on Google Play
Asante sana mkuu.. nitajitahidi mkujNapenda kukushauri kwamba unabidi ubadili (update) kwenye hiyo tovuti ya BongoGram baadhi ya maneno kwenye category ya features create Plofile na iwe create profile , Upload photo and shere with people on your area. na iwe Upload photo and share with people on your area.
Ni ayo tu.
Mkuu unaweza kutoka.. ila swala la usalama liko njema kabisa.. hii ni kampuni kwa sasa kama nyingine.. so maswala ya kiusalama hatutofautiani na makampuni mengine.. serikali ikitaka data haiwezi kuzichukua kirahisi bila idhini yetu mteja au mahakama.. hii ni kampuni kabisa.. tembelea www.softhama.com utaona huduma zetu zaidi..(1) Je, mtu akijiunga anaweza kujitoa mwenyewe (delete account) ? Au mtu akijiunga ndiyo hatoki tena?
(2) Vipi kuhusu utunzwaji wa taarifa za mteja? Je, taasisi za usalama kama polisi, TISS, na mahakama zikihitaji taarifa za mteja wako (mwanachama wa app yako) utatoa/utawapa data/taarifa hizo?
Mkuu sio insta.. sema hiyo title nimeshindwa kuochange.. mwanzoni ndo ilikuwa na functionality kama za insta.. ila sasa imetofautishwa... demand naamini ipo unaweza kuchech.. kwa sasa ni ya kiprofessional na kibiashara zaidi kwa functionality zake..umtumia muda gani kuifanyia research hasa usability demands? na pia what makes instarg better than yours ni kwamba kwanza yenyewe insta ina watumiaji wengi kuliko hii that means alot for a social network. mengine ni lugha inayotumika. chagua kama unatumia kiswahili stick with kiswahili kama ni kiingereza make better a use of English.
Keep it upHabari,
Nimetengeneza app ya android application ambayo ipo supported kwa android version 4 na kuendelea.. kwa sasa ni final version kwa upande wangu. Ila nitapenda mawazo zaidi kutoka kwenu.
Kwa sasa inavyoonekana kwenye screenshot.
Tafuta Bongogram kwenye playstore au felijose systems utapata Bongogram kwenye list..
Au tembelea website ya BongoGram
Shukrani..
link ya kuweza kuidownload na kusoma descriptions ni...
Bongogram - Android Apps on Google Play