kasambalakk
Senior Member
- Apr 2, 2011
- 125
- 17
habari zene ndugu wanajamii
me ni mmoja wa watu ambao ninataka kuanza kufanya biashara ya bodaboda
nimepata dereva mzuri ambae ni mwanifu sana kuliko maelezo
nichoomba ni kuwa mfano mkataba wa biashara hio kat yangu mmliki na dereva jinsi unavyokuwa
ili niweze kumbana huyo kijan ili awe makini na kazi..
nitafurahi sana kupata mkataba ambao utanipa muongozo vizuri kwenye hili.
pia na hesabu ya wiki na jinsi ya kutunza kifaa kwa muda muafaka
shukran
kk
me ni mmoja wa watu ambao ninataka kuanza kufanya biashara ya bodaboda
nimepata dereva mzuri ambae ni mwanifu sana kuliko maelezo
nichoomba ni kuwa mfano mkataba wa biashara hio kat yangu mmliki na dereva jinsi unavyokuwa
ili niweze kumbana huyo kijan ili awe makini na kazi..
nitafurahi sana kupata mkataba ambao utanipa muongozo vizuri kwenye hili.
pia na hesabu ya wiki na jinsi ya kutunza kifaa kwa muda muafaka
shukran
kk