Inategemea wewe unaitumia kwa malengo gani? Unajua hata mtu mwenye syphilis anaweza tumia... simply,
It used to prevent and treat infections Katika sehemu tofauti tofauti za mwili, kwenye ngozi, respiratory tract e.t.c so wewe unaitumia unasumbuliwa na infection ya kitu gani?