Msaada wa lift kutoka Kahama kwenda Dar es Salaam

Yaani we jamaa bila kumtaja Magufuli Hauwezi ridhika. Magufuli kahusikaje hapo
Asante. Kumbe nilitakiwa kusoma post yote. Kuna mengi ya kusoma. Nilisoma title tu. Hapo atapata tu. Madereva wengi ni Me. Ke mnapitia katika majaribu sana. Sasa hapo si yupo chini ya miguu ya mwenye gari (mtoa lift) tu?

Halafu pia binadamu ni wanyama. Utamwitaje mtu toka mbali huko halafu unapotea? Wenye roho za aina hiyo nadhani ndio walikuwa ama bado wanamshabikia Magufuli. Kwao kuua, kufunga wengine kwa makosa ya kubambikizia, kufanya uhuni wa aina hii hakuwaumizi. Na wapate taarifa za binti huyu ili wafurahi - johnthebaptist, mama D, Jane Lowassa
 
Weka namba wadau walioguswa watakuchangia nauli ili usafiri katika hali salama.

Nenda dhehebu unaloabudu uonane na Kiongozi atajua namna ya kukusaidia

Fuata ushauri wa jamaa fulani aliyesema uende wanaposimama traffic ukiwa umejiandaa na Safar hutakosa msaada.

Nenda serikali ya mtaa ( ulizia ilipo) watakupa barua ya kutambua Shida yako , hiyo barua iwe na muhuri na namba ya simu ya Kiongozi then uiattach hapa tutakuchangia.

Chagua hapo Jambo mojawapo ufanye.
 
Habari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.

Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.

Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Pole Binti, wakati unasubiri msaada, nenda pale Phantom petrol station huwa yanapaki malori ya mizigo, hapo ndipo huwa yanaondokea, omba wale madreva unaweza kumpata msamaria akakusaidia ukarudi nyumbani.
 
Habari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.

Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.

Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Dandia malori, au uzungumze na matrafic wa pale Kahama stand, ni rahisi kukupost kwenye mabasi hata kama utakalia ndoo bora kufika
 
Habari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.

Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.

Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Kuna mtu anakutaarifu kwamba yuko njiani, anaelekea Dar, yuko shinyanga sasa hivi, weka namba ya simu tungekupigia
 
Back
Top Bottom