Asante. Kumbe nilitakiwa kusoma post yote. Kuna mengi ya kusoma. Nilisoma title tu. Hapo atapata tu. Madereva wengi ni Me. Ke mnapitia katika majaribu sana. Sasa hapo si yupo chini ya miguu ya mwenye gari (mtoa lift) tu?
Halafu pia binadamu ni wanyama. Utamwitaje mtu toka mbali huko halafu unapotea? Wenye roho za aina hiyo nadhani ndio walikuwa ama bado wanamshabikia Magufuli. Kwao kuua, kufunga wengine kwa makosa ya kubambikizia, kufanya uhuni wa aina hii hakuwaumizi. Na wapate taarifa za binti huyu ili wafurahi - johnthebaptist, mama D, Jane Lowassa
Ana akili za matako mpuuzi huyo achana nae.Yaani we jamaa bila kumtaja Magufuli Hauwezi ridhika. Magufuli kahusikaje hapo
Si umtumie kwanza japo ya Arusha ndio mtoke wote amaAu omba lifti hadi Arusha ukifika hapa tunaondoka wote kwenda DAR.
Pesa sio makalio aisee.Si umtumie kwanza japo ya Arusha ndio mtoke wote ama
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Hahaha halafu mbona anakuja mgumu kutoa namba watu wamsaidie au sanaaPesa sio makalio aisee.
Yaani itumwe kirahisi hivyo kama kujamba!!
jamani.Aseme wanaishi Dsm sehemu Gani? Kuna lift Za mpaka nyumbani mkuu
Pole Binti, wakati unasubiri msaada, nenda pale Phantom petrol station huwa yanapaki malori ya mizigo, hapo ndipo huwa yanaondokea, omba wale madreva unaweza kumpata msamaria akakusaidia ukarudi nyumbani.Habari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.
Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.
Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Dandia malori, au uzungumze na matrafic wa pale Kahama stand, ni rahisi kukupost kwenye mabasi hata kama utakalia ndoo bora kufikaHabari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.
Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.
Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Magufuli ndie aliyesababisha watu wakawa na roho za hivi, lakini pia polisi wa magufuli wanaweza kuwa wameshamuua huyu mtu aliyemwita huyo binti kutoa DarYaani we jamaa bila kumtaja Magufuli Hauwezi ridhika. Magufuli kahusikaje hapo
Kuna mtu anakutaarifu kwamba yuko njiani, anaelekea Dar, yuko shinyanga sasa hivi, weka namba ya simu tungekupigiaHabari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.
Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.
Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Mmh hizi n chuk jman khaaMagufuli ndie aliyesababisha watu wakawa na roho za hivi, lakini pia polisi wa magufuli wanaweza kuwa wameshamuua huyu mtu aliyemwita huyo binti kutoa Dar