kiazikitam
Member
- May 18, 2021
- 58
- 24
Habari za wakati huu mimi ni binti mkazi wa Dar es Salaam ila kwa sasa nipo kahama, katika harakati za kujikwamua nilipata msaada wa mtu akanambia kuna kazi ya mgahawa hapa kahama hivyo nije kuanza na makubaliano yote yalifanyika ila baada ya kufika kwa nauli ya kujichanga mtu yule hapokei simu zangu tena toka juzi na sasa hapatikani tena.
Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.
Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.
Sijajua kilichomsibu mpaka sasa na mimi ni mgeni kabisaa hapa sina ninae mjua hapa na sina hata mia namna naishi anajua Mungu pekee.
Kwa sasa nataka kurudi tu Dar es Salaam tafadhali yeyote ambaye ana usafiri na yupo kahama anatarajia kuja Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa naomba anisaidie lifti maana kuomba hela ni ngumu naomba msaada wa lifti tu ndugu zangu.